Search results

  1. De Queensess Najuh

    Kazi ya Translation

    Hi Palsa hii kazi bado ipo ? Naomba email yako pia tufanye kazi
  2. De Queensess Najuh

    Hivi vitambulisho vya mjasiriamali mdogo, kuna maswali inabidi tujibiwe watanzania!

    Hata nielekezeni jinsi ya kuvipata hivyo vitambulisho na mimi nikachukue
  3. De Queensess Najuh

    Ninahitaji viungo vya kupikia kutoka shambani

    Sawa nashukuru nitakuja huko
  4. De Queensess Najuh

    Ninahitaji viungo vya kupikia kutoka shambani

    Safi sana nitakupm mkuu
  5. De Queensess Najuh

    Ninahitaji viungo vya kupikia kutoka shambani

    We nae unaroho mbaya kama izraeli kama hukutaka kunijibu umechangia hii thread ya nini , nyie ndio msiopendaga maendeleo ya mwenzenu
  6. De Queensess Najuh

    Ninahitaji viungo vya kupikia kutoka shambani

    Kweli mkuu ndio maana nikahitaji kama kuna mtu anacontact za watu wa mashambani aniunganishe nao nivifate
  7. De Queensess Najuh

    Ninahitaji viungo vya kupikia kutoka shambani

    Sihitaji vya sokoni nahitaji direct from shambani kwa wakulima
  8. De Queensess Najuh

    Ninahitaji viungo vya kupikia kutoka shambani

    Nashukuru kwa kunisaidia kujibu
  9. De Queensess Najuh

    Ninahitaji viungo vya kupikia kutoka shambani

    Habari zenu, nahitaji viungo kama Parsely,Pilipili manga, Mdalasini,Hiliki, karafuu na garlic powder kutoka mashambani, msaada kwa yeyote anaefahamu wakulima ningependa kuchukua direct kutoka huko. Asanteni
  10. De Queensess Najuh

    Hiv Zlatan Ibrahimovic yupo wapi?

    Majeruhu ila anategewa kurudi hivi karibuni
  11. De Queensess Najuh

    Diamond Platnumz moving to Kenya? Acquires a huge mansion in Nairobi Author

    Mwacheni tu ahamie jamani, sasa kuna faida gani ya kukaa hapa kila nyimbo inayotolewa inafungiwa mwacheni kijana wa watu akajitaftie zake rizki
  12. De Queensess Najuh

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Nyinyi ndio mnaochangia maaribifu ya malezi , mtoto kulelewa na mzazi mmoja hapana aisee unless kuwe na conc reason inayomlazimu mzazi mmoja kulea watoto lakini sikuhizi naona tu watu mnataka mrahisishe haya mambo ndio mana mnfanya rizk zinakua ngumu
  13. De Queensess Najuh

    Natafuta mwanaume wa kuzaa nae tu

    Binti chunga Tabia, malezi y mtoto si lelemama hata uwe na pesa vipi au uwezo vipi wa kulea mtoto huwezi kufananisha malezi ya wazazi wote wawili na single parent
Back
Top Bottom