Habari zenu, nahitaji viungo kama Parsely,Pilipili manga, Mdalasini,Hiliki, karafuu na garlic powder kutoka mashambani, msaada kwa yeyote anaefahamu wakulima ningependa kuchukua direct kutoka huko. Asanteni
Nyinyi ndio mnaochangia maaribifu ya malezi , mtoto kulelewa na mzazi mmoja hapana aisee unless kuwe na conc reason inayomlazimu mzazi mmoja kulea watoto lakini sikuhizi naona tu watu mnataka mrahisishe haya mambo ndio mana mnfanya rizk zinakua ngumu
Binti chunga Tabia, malezi y mtoto si lelemama hata uwe na pesa vipi au uwezo vipi wa kulea mtoto huwezi kufananisha malezi ya wazazi wote wawili na single parent
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.