Habari wakuu, ninaomba mwenye kujua kwa kina taarifa za hiyo center inayoitwa Hungumalwa.
Iko wilaya ya Kwimba mkoa wa Mwanza.
Je kuna fursa zipi hapo za kibiashara? Hasa kwenye biashara, kilimo na ufugaji? Je wasukuma kitabia wakoje? Hawana ubaguzi Kwa mtu ambaye sio wa kabila lao,maana hapo...
Wachambuzi ,hakikisha mkeka wako una over 1.5 au over 0.5 ,hapo kanji atakuja apasuke siku Moja asiyoifahamu. Ndio options za kucheza hizo...at least unaweza kusema kanji kidogo tu apasuke.
Options zingine ni kamari yenyewe haswa.[emoji23][emoji1787]
Kwa mtaji wowote ulionao,ila huna wazo la biashara.
Njoo na mtaji wako,mimi nitafanya biashara,na Kwa uzoefu wa biashara na fursa mbalimbali za ujasiriamali nilizonazo.Nina kuhakikishia nitakuwa nakupa faida ya 5% kila mwezi ya mtaji wako wowote utakaokuja nao.
Mtaji kianzio ni million tatu na...
Hapa hakuna cash out Kwa maana mechi ya 27 imeisha huku bado ya Barcelona iko live.
Mechi ya 27 ingeisha harafu kukawa na gap la muda kuanza ile mechi ya Barcelona,hapo cash out wangekuletea.
Angalia 9:45 pm mechi 27 ikaanza harafu ya Barcelona ikaanza Saa 10:00 pm.Hapo hakuna namna ilibidi...
Unadhani anaweza kudanganya Kwa faida ya nani ? Ili apate nini? Mimi naona jamaa kweli katusua,maana kusema uwongo kwamba umekula wakati hujala haikuongezei chochote kwenye platform kama hizi,ukizingatia kwamba hatufahamiani hapa.
Sijui anatafuta nini adanganye?!?!
Sent from my RMX3491 using...
Unadhani anaweza kudanganya Kwa faida ya nani ? Ili apate nini? Mimi naona jamaa kweli katusua,maana kusema uwongo kwamba umekula wakati hujala haikuongezei chochote kwenye platform kama hizi,ukizingatia kwamba hatufahamiani hapa.
Sijui anatafuta nini adanganye?!?!
Sent from my RMX3491 using...
Hivi kwanini watu wengine kuoa au kuolewa hadi watake ndoa? Ndoa hizihizi za kanisani na msikitini zinazotesa watu kila siku?
Mbona wengine tumeoa tu bila ndoa ,na watoto tumepata na hakuna shida? Maisha sio haba.
Au hao wazee wetu walikuwa wanafanya hizi ndoa za sifa? eti fulani kafanya lazima...
Huyo wa pili ,atashindwa kukulipa hela yako.1% ya 2.5 million, ni 25000 Kwa siku jambo ambalo ni ngumu sana.
Bora ungempa ukasema hata arudishe 5% Kwa mwez,Kwa mwaka faida yako 1,500,000 ,jumlisha mtaji wako 2,500,000 utakuwa na jumla ya 4 millions.
Na yeye angalau atakuwa kashajilipa kwenye huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.