genuinecopy
Member
- Jan 12, 2023
- 31
- 49
Habari wakuu, ninaomba mwenye kujua kwa kina taarifa za hiyo center inayoitwa Hungumalwa.
Iko wilaya ya Kwimba mkoa wa Mwanza.
Je kuna fursa zipi hapo za kibiashara? Hasa kwenye biashara, kilimo na ufugaji? Je wasukuma kitabia wakoje? Hawana ubaguzi Kwa mtu ambaye sio wa kabila lao,maana hapo nimejaribu kufatilia nikaambiwa wasukuma ndo wengi hapo.
Uchangamfu wa center na ukuaji wa hilo eneo ukoje? Mwenye taarifa sahihi anisaidie hapa wakuu,nataka niende nikapambane huko.Hasa kwenye biashara ya mazao,kilimo,na ufungaji.
Lengo langu ni kutafuta center nzuri iliyochangamka na inayoendelea kupanuka na kukua. Acha hizi miji iliyokwisha kukua kama Geita, Kahama,nk. Nataka center ambazo ndo zinaanza kukua ili ikue nami nikiwepo
NB: Kama unaona eneo jingine nzuri center inayochamka na kukua kama mfano wa Hungumalwa pia nishirikishe hapa.
Asanteni sana Kwa ushauri wenu.
Iko wilaya ya Kwimba mkoa wa Mwanza.
Je kuna fursa zipi hapo za kibiashara? Hasa kwenye biashara, kilimo na ufugaji? Je wasukuma kitabia wakoje? Hawana ubaguzi Kwa mtu ambaye sio wa kabila lao,maana hapo nimejaribu kufatilia nikaambiwa wasukuma ndo wengi hapo.
Uchangamfu wa center na ukuaji wa hilo eneo ukoje? Mwenye taarifa sahihi anisaidie hapa wakuu,nataka niende nikapambane huko.Hasa kwenye biashara ya mazao,kilimo,na ufungaji.
Lengo langu ni kutafuta center nzuri iliyochangamka na inayoendelea kupanuka na kukua. Acha hizi miji iliyokwisha kukua kama Geita, Kahama,nk. Nataka center ambazo ndo zinaanza kukua ili ikue nami nikiwepo
NB: Kama unaona eneo jingine nzuri center inayochamka na kukua kama mfano wa Hungumalwa pia nishirikishe hapa.
Asanteni sana Kwa ushauri wenu.