Kajenga kwa free budget huyu. Mimi yangu ni limited. Nyumba ya kwanza, sihitaji mbwembwe. Najenga kupata experience kwanza. Kama pilot project kisha nijenge nyumba ya kustaafia. Finishing yangu katika hii ya kwanza nitafanya kawaida, ila siweki kitu chochote mchina. Tiles Spanish, Vifaa jikoni...
Habari gani wanazengo? Nahitaji Plot safi maeneo ya Moshono, Arusha.
Budget yangu TZS 7,000,000/= mpaka 9,000,000/=
Kati ya Sqm 450 na 600sqm
Kisiwe mbali na Lami.
Iwe imepimwa safi kabisa.
Mwenyenacho, tafadhali tutafutane.
Nashukuru..naona kuna uhalisia hapa. Budget yangu mpaka kupauwa ni TZS 24ML. Plan yangu ni kwamba by the time napauwa nitakua na 10ml ambayo nitaanza nayo finishing nianze kuingia... Mengine nitamalizia nikiwa ndani
Habari zenu, Naomba kujuzwa rough estimate za kujenga nyumba ya maelezo hayo hapo chini;
1. Ya kisasa kidogo
2. Size: Plot ya 18x25
3. Eneo: Moshono, Arusha (kwa Laizer)
Hitaji:👇
1 Master Bedroom
2 Bedrooms ( Zote 2 Self Contained)
Sitting Room
Open Kitchen + Store
Dinning
Public Bathroom +...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.