Asante sana.
Nina stress za hatari mkuu.japo Najitahid kuzincontrol lkn naona Kwa kweli MTU mwenye stress jamani anastahili kuonewa huruma na asaidiwe.
Mimi Iko hivi... sehemu ya kazi ilitokea mabadiliko flan. Binafsi yameniathiri....na napambana kukubaliana na Hali....
Wanawake wangu...
Jbu mswali Yangu Ili tunzie hapo.
1. Je tangia mumenza uhusiano. Uli mcheat mara ngapi.
2. Sema Siri ya mahusiano ambayo hukuwahi kumwambia. Jarib kukumbuka.
3. Una shughul gani ya kukuingizia kipato, au kama unamtegemea yeye sema
Mimi ni MTU mzima kijana. Lakini nimekuwa MTU mzima wa hovyo kabisa.
Haiwezekani ninakunywa sh 15,000 Kwa siku. Mwezi ni kama Tsh 500,000 kasoro. Mwaka je?
Baada ya kigombana na mwenye bar nimeamua kuachana na bar yake na ninaanza kujifunza kuacha.
Nimekaa nikatafakari, kama namchangia Tsh...
Ni timu chache Sana Afrika zinaweza kufanya hivyo. Mifano ya tp mazembe, timu zenye source kubwa ya pesa.
Hata hivyo inawez fika Muda zinashindwa pia. Vilevile wachezaji wanaangalia timu ipi wanahitajika na yenye fedha na Jina kuu ulimwenguni. Afrika in the case. Simba na Yanga zinauwezo ila tu...
Je, ni kazi gani ninazoweza kufanya kama skauti aliyehitimu?
Ukiwa na sifa katika utambulisho wa talanta, unaweza kuwa skauti katika ngazi mwanzo kabisa kama mpenz wa soka, nusu-mtaalamu au kitaaluma kulingana na sifa zako.
Kwa sifa za juu, inawezekana pia kuwa skauti mkuu au mkurugenzi wa...
Yaani ni Moto.
Ama zake ama zangu. Kocha analiwa kichwa.
Huyu ndg potter aliambiwa amchukue kristiano anakadai hayupo kwenye mipango..
Soon Chelsea watapokea kijiti Cha man utd. Migogoro na wamiliki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.