Madam FaizaFoxy heshima kwako.
Napenda kujua kwanini wasiweke Automatic Control ambayo itaruhusu maji kutoka nje kidogo kidogo kila ujazo ufikapo kiasi fulani wakati maji yakiendelea kuingia?
Mimi sio mjuzi wa hayo Mambo ila nadhani automation ingefanywa kwenye mifumo ya Hilo bwana &...
Mkuu Ritz heshima kwako.
Nimeona bandiko lako na hoja ulizoziwasilisha. Naomba nikuhakikishie kwamba hilo ulilolitabiri ni vigumu kutokea kwavile maandiko Matakatifu yanathibitisha hilo. Mkuu Ritz rejea mission ile miaka ya sabini kipindi cha aliyekuwa Rais wa Misri Gamal Abdel Nasser...
Mkuu Labani og Salam kwako.
Mimi sio mtabiri wala sitaki hiyo fani LABDA Mungu anifanye nabii wake hata hivyo kuna wazo limenijia kama ifuatavyo-
1. Mojawapo timu zilizocheza ijumaa au jumamosi ata/zitaingia Fainali
2. Ikiwa mtindo wa mechi za fainali( CAF champion Ligue) zitakuwa za kucheza...
Mkuu Mayor Quimby salam kwako.
Yamkini mkuu unajua mengi, naomba ikikupendeza utueleze udhaifu wa hoja alizowasilisha Mkuu fazili na pia udhaifu wa Uongozi wa Mh Rais Samia Suluhu Hassani kwa mtizamo wa Ki-Science kama ulivyosema hapo juu.
Ubarikiwe
Ahsante
Habari mkuu Erythrocyte .
Sasa huu ujumbe Mbowe kawaandikia watu wa Mwanza?
Sidhani kabisa kama walengwa ni wasukuma na sehemu kubwa ya wakazi wa mwanza.
Pole sana
Mkuu Allen Kilewella salam kwako.
Tatizo kubwa la waafrika ni kufikiria tu jinsi ya kuibia nchi na sio kuiendeleza nchi. Hebu angalia hapa JF mizizamo ya wengi kuhusu maana ya kazi nzuri.
Wako wapi akina Mandela, Nkrumah, Tolibati, Lumumba wa leo hapa Afrika.
Ahsante
Samahani nzalendo hapo unataka kufikisha ujumbe gani? Nani kakwambia kwamba Mungu atakumbuka uliyoyafanya ya uzinzi kwa kumpatia LIST yote? Nadhani hapa unafanya mzaha au aliyekuongoza kufanya hivyo amekupotosha. Biblia inasema hivi katika 1 Yoh 1:9-10
Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu...
Kuna Siri iliyofichika kwenye hiki knachoitwa "repoti ya Uchunguzi" ya BBC. Hebu jiulize nini kinatafutwa pale SCOAN kama BBC wanashambulia upande huu na upande mwingine DSTV wanapanga kuiondoa channel ya Emmanuel tv kwenye king'amuzi chao hapo tarehe 17/01/2024?
Mkuu STALIN J V salam kwako.
Dhima ya kuleta hili bandiko ni kuwaonyesha viongozi wa Michezo kwamba kuna fursa ambayo hatujaitumia vizuri bila kujali ni wangapi wanaupenda huu mchezo. Mwaka 2003 Tirunesh Dibaba. toka Ethiopia wakati huo akiwa na miaka 17 alishinda mbio za Metre 5000 kule...
Mkuu Kinumbo salamu kwako.
Ukiangalia source au Author wa taarifa za matokeo hayo ya wakenya sio mimi na mimi nia yangu kubwa sio kuwapa taarifa za hayo matokeo yao mazuri kweye riadha bali ni kuonyesha kwamba sisi watanzania tunalo la kujifunza toka kwa majirani zetu. Kwa kuzingatia maelezo...
Ukiangalia utitiri wa washiriki wa mbio ndefu (Marathon) toka Kenya kwenye weekend moja tu na ufanisi wao kimatokeo, ni dhahiri wenzetu wamewekeza sana kwenye riadha hasa marathon. Kwavile Tanzania nayo ipo katika bonde la Ufa kunakoaminika kutoka wanariadha mahiri wa mbio ngefu, sio vibaya Dr...
Muneria Wins Malaga Marathon in Spain as Kenyans Rule Road Races in Busy Weekend for Athletics
The 2016 Africa Cross Country bronze medalist Charles Muneria clocked a personal best of 2:08:54 to win the Malaga Marathon on Sunday as part of what was a plentiful harvest for Kenyans in various road...
Salam kwako Mkuu Liverpool VPN. Kama nimekuelewa vizuri Je ina maana unamshauri huyo mdau awe mwizi? kwa mtizamo wa watu kama wewe Nchi yetu itakaa ipige hatua ya maendeleo kweli? Umenisikitisha sana mkuu Liverpool VPN
Mkuu makaveli10 Salam.
Kama nimekuelewa vizuri ni kwamba Keeper Ayoub alifanya vizuri sana huko Far Rabat kiasi cha kuwashawishi kumuuza kuja Simba Sc. Je hiyo imekaa vizuri kweli?
Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.