nipo matatizoni,yaani imetokea nimempenda mwanamke anayenizidi miaka 8 jamani,mimi ni 38 na yeye ni 46,ana watoto lakini hana mume,nifanye nini manake moyo wangu umeshamwingiza ndani?ni msomi ana hana majivuno kabisa,sio beautify lakini ni intelligent,hana dharau kwa sababu akinitembelea...
When we were drinking, we had all those things but didn't notice them because we were always to drunk to see them. Once we sobered up, we see and feel all the things that the alcohol was covering up.
If we didn't stop, we wouldn't see them and thus would die sooner for lack of proper treatment...
Si kweli mkuu'punyeto niliacha zamani sana'wakuu hili swala linaweza kuwa na uhusiano napombe??manake nimecha pombe week chache zilizopita na huyu demu ndio wa kwanza tangu nimecha pombe
wakuu kuna kitu kinanisumbua sana!mimi sijao lakini umri umesogea'nimekuwa na uhusiano na wanawake wengi'kinachonishangaza ni baadhi ya wanawake nikifanya na mapenzi inakuwa shughuli pevu'yaani natafuna mzigo kinoma wakati mwingine inaweza kufika mpaka dakika 30'lakini nimekutana na mwanamke...
wakati mwingine najiuliza hivi huku botswana nafanya nini mimi??kuishi na watu wanaonitia hasira kila siku nimechoka kabisa''jana nimepita mitaa fulani nikaona jamaa wanamchinja ngo'mbe yaani ni machinjioni''yaani ndugu zangu nilijuta kwa nini nilipita mitaa ile na kosa kubwa nilipaki gari yangu...
yaani naangalia kupitia tv jinsi watu wanaojiita wana ccm walivyokaa pale kirumba mwanza yaani jamani jamaa wamechoka mbaya'yaani sura zinaonyesha jinsi wasivyo na matumaini''
Nahisi hawajui nini hasa kinaendelea ndani ya taifa hili wakati vijana wenzao watoto wa mafisadi wanavyopewa ulaji na...
Magata nashukuru sana kwa maelezo yako ya kitaalam'ni kweli nilipata homa kali na sikulala kabisa'''asante mkuu kwa sababu nilijaribu ku-search kwenye google kinachosababisha sikupata jibu'thank you
naombeni msaada nina jipu kubwa kwenye paja langu la kulia'kwa kweli juzi usiku sikulala homa kali na joto kali la mwili'nimeenda kumwona doktari akanipa antbiotic na asprin na sasa hivi
Naendelea vizuri''naombeni mwenye kujua nini kinasababisha majipu anisaidie'nahisi labda kwa vile nimeacha...
SAKATA la Morine Liyumba ambaye ni binti wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu, Amatus Liyumba, kukamatwa na madawa ya kulevya ‘unga', linawahusisha vigogo 10 Bongo.
Vyanzo visivyo na shaka vimelitajia Amani majina 10 ya vigogo ambao wanahusika katika mtandao...
Mkuu Buchanan hiyo id mmeifuta makusudi kabisa'kila niki sing in inagoma'kuna message inasema hakuna id kama hiyo''hii ni mpya nipo tayari kuachana nayo kama mtarudisha my
Original one
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.