Hii taarifa ingekuwa na picha ingependeza. Kwa wananchi wa DSM sitarajii wadanganyike kirahisi km wa Mikoani, et kujengewa daraja na mbunge !!. Tujifunze kutafuta taarifa toka mamlaka zinazohusika.
Heshima mwisho sebuleni chumbani kazi kazi, wanaume ndo tunafail hapo mwanamke anataka akunjwe , aminywe halafu mtu anampapasa. Ndo sababu wengine wanagongewa na bodaboda wao wanapigw rough km wanavyoendesha tough
Maisha hayana kanuni kwa hiyo itategemea na wanandoa au wanafamilia, wapo ambao wenzi wao ndo waliowatoa kwenye utumwa wa fikra na uchumi toka kwa ndugu zao na kuwafanya wajiamini na kujiyegemea na mwisho na hivyo kuwa na uchumi na maamuzi binafsi kwake mke ni kila kitu. Wapo ndugu lawama wao...
Habari wadau, natumia oppo A 55, nimejaribu ku-install snatube app lakini haikubali naomba msaada nijue nakwama wapi au nifanyeje. Nimeshaitua kwa simu ya awali Oppo A 16 na huawei.
Mzigo ukimpa konda lazima uwe na wasiwasi na huenda usifike, sawa na kutuma nauli kwa mwanamke ambaye hata hajakuelewa unataka aje gheto au guest flan utaliwa tu. Km unamjali mpenzio hawezi kudai nauli shida wapo wagalatia wao wanajua kupaka vumbi la kongo na kusimamia shoo hawajui kutoa...
Sijawahi amini katika ndoto, we potezea tu huenda kulikuwa na story za kuchinja kuku , hapo kuna story za huyo mdada. Taarifa nyingi kwenye ubongo zikaja kwa wakati mmoja.
"kuna uwezekano wa kuwa na upungufu wa chakula tani 132,584 kwa mwaka huu 2022/2023,” amesema Kagaigai"
Umeongea unarusha mate kibao wakati hujaelewa!, maeneo mengi Kilimanjaro bado mazao yapo shambani kwa hiyo tathmin kamili ni baada ya mavuno, na upungufu unatokana na uhaba wa mvua...
Labd huna malengo na huna msukumo wa kuteleleza jambo fulani. Anza kwa kuweka malengo makubwa ila yanayotekelezeka km unapata kiasi hicho unaweza kufanya mengi ni suala la malengo na uamuzi.
Habari wana forum sikuwepo kwa muda humu nimewakumbuka sana, naendelea kusubiri threads na comments za members nao wakubali sana, humu ni zaidi ya chumba cha habari, darasa, ni jukwaa lililo bora sana. Nawatakia weekend njema.
Katiba mpya? Inaondoaje vibaka. Kinachotakiwa ni kuimarisha mifuko ya ulinzi kuanzia ngazi za jamii, kipindi cha nyuma polisi jamii ilitiliwa mkazo kukawa na ulinzi shirikishi vitendo vya uhalifu vikapungua. Wakati wa mwendazake akasimamia uwajibikaji wa viongozi kila ngazi kukawa hakuna uzembe...
Jamaa hasomeki, hata marekani wenyewe walishakiri hakuna ajuaye mawazo yake. Nchi za magharibi zipo njia panda kwa sasa, tayari ufaransa katoa ya moyoni, wakati marekani anaenda mbele na kurudi nyuma ila mwisho wa siku x
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.