Yani unachokifany ni sawa na alienunua pikipik 3 za haojue kwa 7.5m afu akatoa mkataba zikamletea faida ya 6m na pesa yake kurud afu wew unatak uweke 50m kwa return ya kijinga kam hiyo
Acha ujinga bora uchukue million 10 ufungue office ya mikopo ndan ya miezi 6 pesa ina uhakika wa kurud na kubaki unakula faida narudia acha ujinga yaaan uweke 50m kwa return ya 7m kwa miez 12 huo ni uzwazwa amkaaaaa amkaaaaaa amkaaaaaaaaaaaaa
Habari wana JF,
Napenda kujua zaidi kwa wakulima wanaofahamu kilimo cha ulezi namna ya kuandaa shamba, upandaji wake pia mavuno wastani kwa heka moja ni kiasi gani.
NB: Wanaojua tu au aliewahi kushuhudia kilimo cha ulezi na mavuno yake.
Huyo mtoto sio wako ni wa jamaa ndomaan alitumia hiyo kama njia ya huyo mtoto na baba yake wawe karibu kwa kivuli cha ubatizo aseeee amkaaaaa amkaaaaa amkaaaaaaa usingizini mtoto si wako kapime DNA na sitisha hudumaaa
Kawaida asipoleta pesa ndani ya siku 10 ndio mkataba unavunjwa bhana au 15 na hapo hamdaiani
sasa huyu jamaa anaomba ushauri wakat angerejea kusoma mkataba unasemaje
Kama huwezi kujizuia ngono inakuendesha basi bado jitafakari
Mfumo umetengeneza watu kila wanapopata hamu basi warelease semen zao kumbuka hiyo ndo energy yako mwanaume hiyo ni life force
Mwanaume una uwezo wa kuleta kiumbe kingine kwahiyo jithamini
Tafuta elimu kuhusu haya mambo kwanini...
Satanic agent kwenye ubora wako kuhalalisha uzinzi watu wapoteze energy
Kwanini watu wanatengenezwa kufikiria ngono au kufanya ngono kila siku
Social networks zote zinapromote ngono ushajiuliza why?
Na kwanini wanawatengeneza wanaume feminist kama wewe na wanatengeneza masculine women...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.