Search results

  1. U

    Hawa Feminist walipofikia ni pabaya sasa

    Wew ndo hujaelewa apo anezungumziwa mke kulipwa na sio mfanyakaz kama mfanyakazi sijui umeishia elimu gan[emoji16][emoji16]
  2. U

    Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

    Nimegundua humu wengi wako usalama mtu wa kawaida huwez jua haya yoote sasa kwann serikal inawaacha tu naskia pia wapo na wakenya wana vyeo
  3. U

    Kilimo cha miti hakina faida kwa sasa. Ni biashara kichaa!

    Alieanzisha huu uzi akili hana afu kakutana na black mentality wenzake mawazo hasi yamejaaa saaana
  4. U

    Sensa kwenye jicho la kimahusiano

    Sensa ya mchongo hii ila uhalisia wanaume sisi ni wachache sidhan kama tunafika ata 28m
  5. U

    Nataka kuweka mzigo wangu Finca Bank

    Onana na wenye offc za mikopo wakupe madini
  6. U

    Nataka kuweka mzigo wangu Finca Bank

    Yani unachokifany ni sawa na alienunua pikipik 3 za haojue kwa 7.5m afu akatoa mkataba zikamletea faida ya 6m na pesa yake kurud afu wew unatak uweke 50m kwa return ya kijinga kam hiyo
  7. U

    Nataka kuweka mzigo wangu Finca Bank

    Acha ujinga bora uchukue million 10 ufungue office ya mikopo ndan ya miezi 6 pesa ina uhakika wa kurud na kubaki unakula faida narudia acha ujinga yaaan uweke 50m kwa return ya 7m kwa miez 12 huo ni uzwazwa amkaaaaa amkaaaaaa amkaaaaaaaaaaaaa
  8. U

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha ulezi

    Ahsanteni kwa michango yenu
  9. U

    USHAURI: Nimeyakimbilia maisha naenda kuumbuka!

    Piga boda acha ufala pesa ya chap chap 20---30 elf huwez kosa daily
  10. U

    Naomba kujuzwa kuhusu kilimo cha ulezi

    Habari wana JF, Napenda kujua zaidi kwa wakulima wanaofahamu kilimo cha ulezi namna ya kuandaa shamba, upandaji wake pia mavuno wastani kwa heka moja ni kiasi gani. NB: Wanaojua tu au aliewahi kushuhudia kilimo cha ulezi na mavuno yake.
  11. U

    Baba wa ubatizo wa mwanangu ana uhusiano wa kimapenzi na mama wa mwanangu. Navukaje hapa?

    Huyo mtoto sio wako ni wa jamaa ndomaan alitumia hiyo kama njia ya huyo mtoto na baba yake wawe karibu kwa kivuli cha ubatizo aseeee amkaaaaa amkaaaaa amkaaaaaaa usingizini mtoto si wako kapime DNA na sitisha hudumaaa
  12. U

    Naomba ushauri kuhusu huyu bodaboda

    Kawaida asipoleta pesa ndani ya siku 10 ndio mkataba unavunjwa bhana au 15 na hapo hamdaiani sasa huyu jamaa anaomba ushauri wakat angerejea kusoma mkataba unasemaje
  13. U

    Uzi kwa Mdada Mzuri Mwembamba

    Hahahhhhhhhhh
  14. U

    Karibu tukuagizie bidhaa nje ya nchi

    Mbona JBL soundbar hamuisemi
  15. U

    Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

    Kama huwezi kujizuia ngono inakuendesha basi bado jitafakari Mfumo umetengeneza watu kila wanapopata hamu basi warelease semen zao kumbuka hiyo ndo energy yako mwanaume hiyo ni life force Mwanaume una uwezo wa kuleta kiumbe kingine kwahiyo jithamini Tafuta elimu kuhusu haya mambo kwanini...
  16. U

    Nimeona nijiunge rasmi kwenye "NoFap" Challenge

    Satanic agent kwenye ubora wako kuhalalisha uzinzi watu wapoteze energy Kwanini watu wanatengenezwa kufikiria ngono au kufanya ngono kila siku Social networks zote zinapromote ngono ushajiuliza why? Na kwanini wanawatengeneza wanaume feminist kama wewe na wanatengeneza masculine women...
Back
Top Bottom