Wana JF, naombeni msaada hapa , nilikua na uguliwa na mume wangu ambaye alikua in a very critical condition, nikaomba likizo ya siku 28 kazini nikapewa, siku zilivoisha nikaenda kazini, kufika nikakuta kunatangazo la post yangu,yani anatafutwa mtu wa kufanya kazi za pozishen ambayo mimi ndio...
he wewe, we utakua moja kati ya hao wazee wanao jitwaalia hizo schlshp, hebu mtaje hata kijana mmoja unaehisi kridhika na elim yake? watu tuna taabika, achilia mbali hizo za nje hata kupata elimu za juu humu ndani ni utata, leo wasema tumeridhika ?ebo.... :A S 112:
Wana JF. Binafsi nnatatizo la luwashwa mili mzima pindi nnapo toka kuoga.
Mara nyingi hunitokea nikioga maji ya baridi, lakini pia sometime hunitokea hata kwa hot water, sijajua tatizo nini ila nshaenda hosp nikapewa dawa lakini hali hajabadilika had sasa. Msaada tafadhali.
Nilidhani ni mimi pekee, kwakweli tangazola startimes linatia kichefuchefu, na si hilo tu hata hili la Tigo linalo wahusisha mke na mume ni uozo mtupu.:rant: kwakweli tunaomba yatolewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.