Uo ulikuwa ni WA binti flani wa mtaani kwetu, binti alinikataa, mtoto wake wa kwanza akaenda kumzalia mume wa mtu, kuna picha juzi nliziona mtandaoni ndo nkazileta tena huu uzi GenuineMan
Sidhani kama ni demu ambae kila mtu alikuwa anajipigia, maana ni mgahawa wa kijijini unaouza chai na msosi tu, hauuzi pombe, halafu ndo alikuwa ana miezi michache toka amemaliza form 4 mwaka 2022, ila alikuwa amefeli Ivan Stepanov
Halafu wewe jamaa ni mganga nini, umejuaje iyo pisi ninayoongelea ina makalio, aloo ni binti wa 2000, akipita mtaani, mtaa unasimama, ana chuchu saa sita, kiuno nyigu, anajambia mbali, yani ana lile kalio ambalo ukimwangalia kwa nyuma lina shepu iliyochora alama ya love ❤️
Alikuwa anasaidia...
Acha utani😂 sio kwamba najiona/najisifia/nina kiburi, ila naamini kuna vijana hapo mtaani hata wewe ukiwaona walivyo, matendo yao, wanavovaa etc utajiona bora wewe.
Sasa mtu anaeshinda baa na kijiweni the whole day, mchafu mchafu, kazi kula mirungi, bangi, na pombe kali, huyo mtu ni bora...
Mwanaume bodaboda nae ana haki ya kupendwa, mfano pale mtaani kwetu kuna baadhi ya vijana wa bodaboda kwa jinsi wanavojiweka kistaarabu na kiheshima, kama mimi ni baba na nina binti, wakija kutoa posa nitawapa binti yangu kiroho safi, maana najua mwanangu atakuwa kwenye mikono salama.
Sasa...
Habarini,
Juzi kati nlitafakari kwanini utakuta binti mzuri tu mashallah, she is young, pretty, hana mtoto, unamfata unamtongoza anakukataa, unakubali maamuzi yake kiroho safi unaendelea na mishe zako.
Hee baadae unakuja sikia mtoto wake wa kwanza kazaa na mume wa mtu mwenye familia yake, au...
Kuna kitabu kiliandikwa na mdada wa marekani anaitwa Baje Fletcher, hicho kitabu kinaitwa "Goaldigger's guide how to get what you want from men without giving it up" kwenye hicho kitabu alifundisha wadada njia za kupata pesa toka kwa mwanaume usiempenda bila kutoa papuchi , hii factor inapinga...
Tunavolalamika kuwa wanawake mnapenda sana pesa, sio kwamba sisi wanaume hatutaki kuwapa wanawake wetu pesa, au tunataka kukimbia majukumu. Tunapenda sana kuwapa hela.
Ishu ni kwamba kibinadamu, mwanaume ukijua mwanamke uliye naye yuko na wewe kwenye mahusiano kwasababu una pesa, na sio...
Naona sababu zinazomkumba huyo jamaa yako ni hizi, anakutana na wadada chuma ulete wanaomuomba sana hela hivyo anaamua kukimbia, au anatongoza halafu anakua kama amekubaliwa, ila papuchi hapewi Mwizukulu mgikuru
Wewe ni mtu wa tatu kusema Ivo, Sijajua kwanini inakuaga ivyo, mwanaume kwenye miaka 18-23 unapata pisi zinazokupenda kweli, juu ya hapo, miaka 25-hadi uzee kupata demu anaekupenda ni ngumu, sijui wanaume tukifika miaka 25,26,27,28 tunazeeka kimuonekano Vishu Mtata
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.