Hakika kila mmoja ana yake aliyowahi kuyafanya sirini au anaendelea kuyafanya sirini.
Binadamu tukifanikiwa katika jambo moja la kusitiriana, basi tutaishi maisha matamu sana
Mkuu habari.
Nimesoma uzi wako hadi nikakuonea huruma.
Ipo hivi, kwanza unatakiwa kupata password yake ya fb.
Baada ya hapo unaingia kwenye account yake kupitia simu yako, na ukishaingia mara moja tu basi mchezo utakua umekwisha, maana utakua huna haja tena ya kushika simu yake. Na hapo muda...
Habari zenu wana jamvi wenzangu. Tafadhali nina uhitaji wa hanger kwa ajili ya nguo za watoto. Kwa yeyote mwenye kujua chimbo kwa Dar tafadhali nifahamishe na ikiwezekana niunganishe na mhusika. Mimi nipo Tanga.
Natanguliza shukrani.
Mkuu hongera sana na ahsante kwakutuhamasisha.
Ila mkuu nahitaji kujua naweza kuanza na eneo la ukubwa gani na pia umbali kati ya mpapai hadi mpapai ni kiasi gani?
Natanguliza shukrani kiongozi
Mkuu jaribu hii kitu naamini itakusaidia sana.
Chukua Ngogwe za kienyeji 6 zikate katikati ili kupata vipande 12, changanya na maji vikombe viwili kisha chemsha bila ya kuweka kitu chochote kwa muda wa dakika 10 bila kufunika.
Kula vipande vyote 12 ukishushia na supu yake, vyote vikiwa vya moto...
Kwa kweli jina lako linasadifu akili yako, yaani ukishakua team flan basi weye akili yako muda wote inawaza hovyo hovyo, kwa naana ya kua akili yako inakua haiko huru bali ipo kiteam.
Mkuu kumbuka waliofanya tukio hili walikua katika hali gani, na embu jaribu kuvaa viatu vyake.
Sent using...
Hizi ni porojo au ndoto za mchana,
Maana mipango kama ile ni kweli hufanyika ila kwa namna Lisu alivyoshambuliwa ndugu embu tafakari tena andiko lako.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.