Kama dini na waumini wanaamini
Mungu ndio mwanzo na mwisho
Mungu hana mpinzani......
Mungu anauweza kufanya lolote muda wowote kwa mtu yeyote
Maana yake wanaojifanya mbele mbele kumpigania Mungu.... wapumbavu, wajinga na vilaza.
Yaani eti binadam anajifanya kumpigania na kumtetea Mungu...
Tatizo nikupinga mambo ya msingi bila kuelewa uzito wake.
Wewe uliwahi kuridhika na chakula ulichokula jana? Au ungependa kuboresha kadri siku zikienda?
Umewahi kuridhika na mafanikio yako na kubweteka bila kuhitaji kuboresha kadri siku zinavoenda. Au kujenga nyumba bora ya wakati au kununua...
Mawazo ya kijinga
Unataka kukuambia
1. sheria, kanuni na Taratibu hazina umuhimu? Yaani mahakama haina maana?
2. Unataka kutuambia serikali haina maana kuwepo?
3. Unataka kutuambia bunge halina maana kuwepo?
Maana kuwepo kwa judiciary, executive na parliament nikwa mujibu wa katiba.
Acha...
Suala la katiba haliwezi kuwa la Cdm pekee nikwa watanzania wote
1. Haki kwa kila mtanzania
2. Maendeleo kwa kila mtanzania
3. Afya kwa kila mtanzania
4. Elimu kwa kila mtanzania
Hayo mambo ma nne yatakuwa bora, kamilifu na thabiti tukiwa na Katiba bora imara na kamilifu.
Tumehuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.