PetroQuavo sometimes ukata unafanya watu wengi wafanye mambo nusu nusu, but I hope they could have spent some time in security. Website development is not something kila mtu anaweza akafanya to the fullest, achilia mbali plagiarism kwenye code we still have something to learn
marxlups nadhani ungerudia kuusoma uzi huu ungeelewa haraka mno. It's a wake up call hili jambo litakuja kuwa serious in the days to come, nyuzi kama hizi zilianza kushika kasi kipindi cha nyuma kidogo. Kama sikosei kuna mmoja aliitua nyuzi moja akiwalaumu vijana wa UDOM kuwa na nywila dhaifu...
Habari zenu wanajukwaa na ma great thinker wa JF. Matumaini yangu ni kwamba tunaendelea salama, kwa waliopatwa na matatizo nawaombea kwa m/Mungu awasaidie.
Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, imekuwa jambo la kawakda kwa tovuti nyingi za kibongo kutokuwa na structure, organization...
Kiukweli mimi namuheshimu sana mtu ambaye ameamua kusimama mbele ya watu na kutumia kipaji/ talanta aliyopewa na m/Mungu kujipatia pesa.
No matter show slowly the guy is advancing, never stand a foot to speak stupid things on them 😎
Hii ni normal physics phenomena, kama ukizijua concepts muhimu za Light Part 1 na Part 2 katika kitabu cha Oxford you are most likely to understand
Hata wale ambao wamesoma vitabu madhubuti vya physics hasa katika topic ya Light this seems something very normal.
Wakiendelea hivi sio mda itabidi tuhamie kwengineko. Halotel ilianza vizuri ila kila siku zinaposogea shutuma nzito zinawaangukia kama.
1.Kupuliza mb za wateja kwa kasi ya ajabu
2. Mtandao kushika kwa kwi kwi yaani unaweza kutumia 12kb/s inapanda hadi 80kb/s na ndo mwisho. Sasa hapo unafanya...
Bongo ujinga mwingi script unaandika kwa saa 4 tu, hamna cha maana kabisa zaidi "baada ya Juma kumuona amina baa na Sadiki aliwasogelea wakati huo huo akatoa postol yake aloitunza kiunoni mwake,
"siamini unanifanyia hivi Amina(Juma anaanza kulia)"
"Hee ilitaka nifanyeje sasa ? (ki soundtrack...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.