Wadau na wakubwa zangu heshima kwenu...
Wangapi wanaokumbuka hii product ya kimafia.filamu ya ubabe ,unyama mwanzo mwisho.
Nani anamkumbuka mbabe yule GAry hiroyuki tagawa nyamera la mayakuza ,Dolph Lundgren enzi zake akiwa chalii tu miaka hiyo ya 90s....dogo wa bruce lee ,,brandon lee yule...
Binafsi namkubali sana huyu mama.
Katika career yake ya mziki binafsi sijawahi sikia skendo yoyote serious inayomhusu.pili nyimbo zake hajiexpose sana mwili wake ili auze album zake.. ni nyimbo unaweza angalia hata na familia yako.
Nyimbo zake zinatuliza nafsi, zinaponyesha maumivu ya moyo kwa...
Niende kwenye swali direct.
Hivi mfano mtu mwenye ushawishi kwenye jamii mfano staa, mwimbaji n.k akaitwa na rais ikulu akagoma kwenda, je ni hatua gani stahiki za kisheria zitafuata dhidi yake kukataa wito wa mkuu wa nchi?
Naomba kuwasilisha.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...
Kwamba dunia inatufundisha (hususan kwenye jamii ya kitanzania) ili ukubalike na wanawake wazuri(pisi kali) lazima uwe na mavumba aka shekeli. Mentality Hii inaweza kuwa kweli au isiwe kweli kutokana na mtazamo wa mtu mmoja mmoja.
Kwa upande wangu mbona...
Huyu jamaa aliyetengeneza Hii filamu nikiri kamwe hatokuja kutengeneza filamu nyingine tena kama Hii. Kuna GENTLEMAN humo anaitwa john krammer nilimvulia kofia.
Kwanza filamu kiujumla inmhusu mhusika a sadistic serial killer ambaye anaua victims wake systematically bila yeye kuhusika moja kwa...
Huyu mdada aliigiza uhalisia hadi kero.
Ila Hii filamu pamoja na nyingine ya the exorcist ya miaka ya 70 zimenifunza mengi.kwa yeyote aliyeziangalia hizi filamu nikiri haukupoteza muda wako.
Wadau, kwema?
Ipo hivi, huku mtaani kwa nafasi yangu natumia kila njia nayoiona inafaa ili kuwa boost watu wakapige kura haswa kwa mheshimiwa TAL. Ila kinachomkatisha bi mkubwa wangu tamaa ni kwamba 2015 alimpa EL ila hakushinda (bao la mkono).
Sasa amekata tamaa kasema bora aipe Mbogamboga FC...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.