Ukweli ni kwamba,marumo japo inakaribia kushuka daraja lakini uwezo wa wachezaji wake ni mkubwa kuliko timu yangu ya yanga na sijui tutafanyaje kuwazuia wasitufunge.tutatolewa tu
Watanzania serikali imetoa rasimu ya sera ya elimu, ili kila mmoja wetu atoe maoni yake, sasa badala ya kuisoma tunakimbilia kutoa lawama lukuki.
Hiyo ni rasimu imetolewa ili kila mmoja atoe maoni sasa tutoe maoni yetu tunatakaje, nasoma maoni ya wengi ni kulaumu tu, hiyo sio sawa.
Leo bendi yako ilikuwa inaburudisha kwenye sherehe ya utiaji saini ujenzi wa minara ya simu.waambaji wako badala ya kutamka serikali ae serekali wao wanatamka selekali,hivyo ni kuharibu kiswahili kabisa
Nakiri kabisa kati ya wanawake 10 nitakaowatongoza wanane ni masingo maza,na ukweli ni wazuri mno na sifa zao ni hizi:
1.ni wasafi mno na hujitayarisha sana kwa sex
2.wanajua sana sex kunzia romansi hadi kwichikwichi na stamina wanayo,na hutikia vizuri sana rizim ya mapigo yangu kila napobadili...
Tusijenge tabia ya kupeana sifa za kij8nga ambazo hazina msaada wowote kukuza timu.kusifia viongozi mchana kutwa usiku kucha.tujenge timu ki mbinu,kiufundi na kwa stamina,tujenge viwanja,tuwekeze kwa vijana na tulipane vizuri,tuache wizi,uchawi na umalaya
Yes ni muhimu sana kushirikiana kwenye tendo la ndoa ili kuongeza furaha,amani kwenye ndoa au mahusiano.
Tuwe tunaongea kujua kila mtu apendacho kuanzia romance staili za na mbinu za na kila mtu awe anabuni staili mpya mpya na mkiwa kwenye 6 kwa 6 mshirikiane kila kitu
Mfano mwenzio akijamba...
Natafuta mwanamke, msafi msiri, asiwe mke wa mtu, ili nispendi nae kwa wiki 2, kila kitu kwa gharama zangu. asiwe malaya anayejiuza, asiwe mlevi wa kupindukia, awe anayejitambua, akiwa mjasiriamali au mtumishi ni sawa, na msingi wa kuwa pamoja ni furaha, amani, starehe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.