Ningewahamisha kila mtu sehemu anayotaka na kuwajengea nyumba zao upya na kuwapa mtaji ili angalau wawe kama walivyokuwa kabla ya mafutiko kutokea.halafu eneo Lao lililo athurika ningegeuza bwana la samaki mamba kiboko nk
Mm urafiki ulikufa na mshikaji wangu baada ya kujifanya demu na akaanza kunitongoza akajua ninashobokea mademu.nilikuwq na chati nae kwa namba ngeni ambyo nilimwambia ni wrong namba ila aliendelea zoezi lilienda kama wiki hivi mwisho wa siku akaja kusema yeye ni fulani.nilimkataa mazima hadi leo...
2022 unaona umesota sana mtaani ndugu? Bado hujasota,kuna watu wana miaka 7 na kuendelea toka wamalize vyuo na bado kazi hawajapata.komaa wakati wa mungu ni wakati sahihi.usikate tamaa
Na wewe Huna akili kabisa unaonekana popoma.unaendaje na mtoto kwa mchepuko wako unamfundisha nini huyo mtoto akiwa mtu mzima?Shenfield kabisa ungekuwa karibu ningekutia konzi
There are no credible historical sources or evidence to support the claim that King Abdulaziz of Saudi Arabia killed a United Kingdom ambassador due to the influence of alcohol, and that this incident was the reason for the prohibition of alcohol in Saudi Arabia since 1952.
The prohibition of...
Njoo kwangu.
Mm mwenyewe niliteseka sana.nilifikia hadi hatua ya kujisaidia blood clot.ila sasa niko poa nadunda vzr kbsa.njoo inbox kwa maelekezo zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.