Leo ni kumbukizi ya siku niliyozaliwa miaka kadhaa iliyopita siku kama ya leo nilizaliwa ... Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuishi miaka yote hiyo .. Nawashukuru wazazi wangu kwa kunilea na kunitunza hadi pale nilipoweza kujitambua na kuanza kujitegemea .. Namshukuru mke wangu kwa...
Ni kweli kuna faida lakini kwa Dunia ya Leo ni changamoto sana kwa huyo mama wa nyumbani hasa pale mambo yanapokuendea kombo wewe Mzee Baba iwe ni kupata ajali na kuwa mlemavu wa kudumu utakaehitaji kihudumiwa au pia kufutwa kazi kama ni Mfanyakazi au kwa vyovyote vile utakapopatwa na tatizo...
Cheki engine mounting na pia spark plugs pia ignition coil kama inatoa moto sawa sawa ...
Engine mounting zikiwa zimekatika zinasababisha mtikisiko wa engine kwenda kwenye body
Spark plugs zikiwa hazichomi vizuri zinasababisha engine kutikisika hivyo kufanya gari kutikisika pia
Ignition...
Hakuna kitu kama hicho .... Bati zinatofautiana mnooo labda kama umetumwa kuja kufanya propaganda zako huku .. Huwezi kulinganisha Bati LA ALAF na ujinga huo huko mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho .... Bati zinatofautiana mnooo labda kama umetumwa kuja kufanya propaganda zako huku .. Huwezi kulinganisha Bati LA ALAF na ujinga huo huko mtaani
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tena mkuu hapo ndio nyumbani Uru timbirini pembeni yake shule ya sekondari ya uru na karibu na Kanisa katoliki la Moyo Mtakatifu wa Yesu Uru
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji3] *Nchi ya neema ni ya neema tu Tuna Madini..Bahari ...maziwa...Milima mikubwa..nasasa Mungu katushushia vichwa vya tren ghafla tu vimeingia bandarini na kwa mshangao kila mtu anajiuliza vya nani kwani baada ya kukosekana muagizaji.. huyo niroho mtakatifu jamani ametenda miujuza*
Ahsante sana mkuu kwa kunitia moyo maana hapa Kichwa hakisomi kabisa nimeshindwa hata kutoka kwenda kutafuta mkate wa siku najinywea tuu nyagi hapa nimsubiri arudi ili tuyapange
Wakuu habari za usiku huu naomba mwenye uelewa juu ya vijana waliojiunga na jkt kwa mujibu wa sheria maana hapa Niko kwenye wakati mgumu kijana wangu alipangiwa jeshi kwa mujibu wa sheria na aliripoti kama wiki moja imepita sasa ... Usiku huu amenipigia Simu kuwa mazoezi na mazingira ya kambi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.