Ingekuwa ni mwanaume anaomba ushauri huu angepewa kila aina ya kejeli na matusi..Ila kwa sababu mwanaume ni dhaifu kwa mwanamke, wanaume wengi wanatoa ushauri kwenye hili ili hali hawawazi kuhusu lililoulizwa ila wanatega ili kumpata huyu binti maana ashaonesha udhaifu tayari kujitangaza...
Mkiwa chuoni mjitahidi kutumia vizuri boom lenu hasa hasa mnaotoka kwenye familia zenye uwezo wa chini na kati ili msiendelee kuwatesa wazazi au walezi wenu. All in all ukiwa chuo kikuuu usiwe antisocial kumbuka watu wanaokuzunguka hapo chuoni ndo watakuja kuwa msaada wako baadaye. Heshimu kila...
Mimi nilisoma Tabora boys advanced level leo hii naona umuhimu mkubwa wa kusoma shule za vipaji maana nilipata kazi kirahisi sana baada ya mwajiri wangu kuona kuwa nimesoma hiyo shule.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.