Habari wana JF,
Nimepita mahala nimesikia Watu wakibishana hili jambo kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Wengine wakisema unaruhusiwa kumchagua Rais tu Ila mbunge hautoruhusiwa kwakuwa sio eneo lako la makazi lakini wengine wakisema huruhusiwi kumchagua yeyote kwakuwa namba yako ya...
Habari Wana JF,
Tumbo langu limekuwa na tabia kunguruma hasa mida ya asubuh napokuwa sijala kitu, kwa ufupi nikwamba lina nguruma ninapokuwa sijaweka chochote tumboni.
Mwenye kujua chanzo na ufumbuzi wa hili tafadhali.
Habari wana JF,
Kama kichwa kinavyosema hapo juu, Mimi ni mtumiaji wa mtandao mmoja wapo wa simu hapa nchini, kuna wizi wa wazi wa vocha nilishaugundua kwa muda mrefu sana kwenye hizi kampuni zote za sim hapa nchini Ila kwakuwa watanzania tunakawaida ya kupuuzia mambo au kusema "namuachia mungu...
Habari wana JF,
Naomba nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.Mimi ni Mtanzania ila nimekuwa na bahati ya kuwa na connections/kujuana na watu walio ng'ambo (Europe, America na Asia) na kufanya nao baadhi ya kazi.
Kwasasa nataka kufanya nao biashara, naomba mawazo yenu aina za...
Huwa natokewa na uvimbe huo maeneo ya joint ya kiganja cha mkono, huwa unatokea baada ya muda unapotea. Nini tatizo na ni nini muarobaini wake? Tafadhali wanajamvi naomba mnisaidie.
Salam wadau,
Ningependa niende kwenye mada moja kwa moja kwani nahisi kupasuka kwa hasira kwa upumbavu walionifanyia Tigo.
Nimekuwa mteja wa mtandao wa Tigo kwa miaka kadhaa sasa, ila nilichokutana nacho kama kitajirudia tena basi itakuwa mwisho wa mimi kutumia mtandao huu.
Ni siku ya tatu au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.