Forforty
Member
- Nov 13, 2019
- 85
- 87
Habari wana JF,
Naomba nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.Mimi ni Mtanzania ila nimekuwa na bahati ya kuwa na connections/kujuana na watu walio ng'ambo (Europe, America na Asia) na kufanya nao baadhi ya kazi.
Kwasasa nataka kufanya nao biashara, naomba mawazo yenu aina za biashara 5 kubwa/uwekezaji mkubwa ambao naweza kufanya nao kwa hapa nyumbani Tanzania.
Naomba nijikite moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.Mimi ni Mtanzania ila nimekuwa na bahati ya kuwa na connections/kujuana na watu walio ng'ambo (Europe, America na Asia) na kufanya nao baadhi ya kazi.
Kwasasa nataka kufanya nao biashara, naomba mawazo yenu aina za biashara 5 kubwa/uwekezaji mkubwa ambao naweza kufanya nao kwa hapa nyumbani Tanzania.