Kwamba mwanaume rijali unapiga kelele kisa umekatikiwa?
Kwa umri wangu mimi nakaribia 30, lakini sina mwanamke aliyenichanganya kunifanya nikose common sense kama mtoa mada.
Labda nipate mtu avunjike mgongo.
Anyway, "Aina hii ya vijana, ina mchango mdogo sana kwa Taifa." -Jiwe.
Kuna wakati huwa natamani kununua pikipiki na kujiapiza nidhamu. Lakini nikihesabu idadi ya rafiki zangu niliowazika kisa bodaboda, hakika nafsi huwa inakataa kabisa.
Mungu awapokee.
I see, ukitafakari hii kauli, unaona kabisa jamaa kawaza vema sana. Deep down hizo pesa watu wanatumia hovyo zina siri kubwa sana.
Mkuu, kubali maisha yana level, uzuri uliona uko sehemu isiyoyako, ukaondoka.
Katafute snowburner inazuia magugu kuota, pia ni selective. Yaani haiunguzi mahindi. Pia ina kama mbolea ndani yake. Bei kwa huku ni 24k kwa chupa ya 1L
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.