Habari za wakati huu wanajamvi, kwa muda mrefu nimekuwa nikijaribu kuangalia na kutazama mtifuano ambao umekuwa ukijitokeza mara kwa mara baina ya polisi na mahali wanapokuwapo viongozi wa chadema.
Tukilejea matukio machache kuanzia maandamano ya wanachadema mwaka 2012 jijini Arusha, uvamizi wa...
Wakuu hapo juu kichwa cha habari chajieleza. Naomba msaada namna ya kupata line mpya kwa ajili ya kufanya biashara. Naomba kuelewa utaratibu upoje, pia kwa mtu anayeuza naomba bei na maelekezo mengine.
Asanteni sana.
Naomba nianze kwa kuwasalimu, habari za wakati huu
Kwa zaidi ya nusu muongo nimekuwa nikifuatilia mijadala ya huku ndani JF nimekuja kugundua kuwa Taiifa hili na Afrika kwa ujumla tuna hazina kubwa ambayo hatuitumii kabisa
Naomba nianze kwa kusema kuna tofauti kubwa ya mtawala na kiongozi...
Habari zenu waheshimiwa, naamini munaendelea vyema kabisa, kuna kibwagizo ambacho kimendelea kukamata vilivyo katika utawala wa mitandao ya kijamii kibwagizo cha " Upepo wa Kisulisuli" kupitia kibwagizo hicho nimejifunza vitu vifutavyo:
1.Katika kizazi hiki kuna changamoto kubwa kuwa vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.