Salaam wana jamvi
kesho ndiyo siku inayotarajiwa board kutoa awamu ya pili
samahani wakuu kwa wale waliopata awamu ya kwanza account zenu zilianza kubadilika siku hiyo hiyo walipotangaza?
maana naona ujumbe ni ule ule WAIT FOR ALLOCATION PROCESS
Salaam wakuu,
Kwa wale walioomba mkopo mwaka huu kuna ambaye ameshapata ujumbe kwenye account yake tofauti na ujumbe huu hapa chini?
Your application is already in Verification process, please wait for the next stage.
Salaam wana jamvi,
Samahani naomba kuuliza kwa wale wenye uzoefu na course ya Computer Science.
Mashirika ya serikali na binafsi ambapo ni potential kwa mwanafunzi kufanya field.
Habari za humu wana jamii forum,samahn kulingana na kichwa cha habari tajwa hapo juu naomba ushauri wenu kati ya hizi course mbili ni ipi ni nzuri zaid kwa upande wa Ajira
Habari zenu wana jamii forum,samahan nimechaguliwa katika round ya nne ya application na nimepata vyuo vitatu sijaconfirm naomba ushauri wenu kozi ipi kati ya hizi inaweza kufaa zaidi kwa upande wa ajira
1.Bachelor science in Business communication and information technology chuo MOCU...
Habari za Leo wana jamii forum,samahani naombeni ushauri wa hiyo course tajwa hapo juu kwa upande wa mazingira ya kazi na ajira zake,samahn matus nadhan hayajenga naombeni ushauri
Hellow wana jamii forum,samahn naomba msaada wa kufahamishwa chuo bora cha private ambacho kinatoa faculty kwa aliyesoma CBG,ambacho ada yake si kubwa sana
Habari za Leo wadau,kwanza tunamshukuru Mungu kwa kupatiwa nafasi tena ya kuapply round ya nne kwetu sisi ambao hatujapata nafasi za vyuo,tunawashukuru TCU kwa kulitambua hili nakutupatia nafasi tena,sasa ombi langu ni kwamba mm nimesoma Cbg combination na nilichagua course kama microbiology...
Habari za jion wadau samahn mm nimeomba chuo round ya kwanza mpaka ya tatu sijapata chuo nimesoma Cbg na ufaulu wangu two ya 12 je nauliza kuna uwezekano wa kufungua dirisha kwa awamu ya nne kwa mwaka huu mwenye uzoefu tafadhali
=====================================
Tume ya vyuo Vikuu...
Tafadhali wadau mm niliomba third round na kwenye multiple selection iliyotolewa na tcu Leo simo, na nikijaribu kuingia kwenye account zangu zote udsm na udom bado sijawekewa selection results,ambaye ameshapat selection ktk vyuo hivyo plz anisaidie inform nijue kama tiyar au bado.Ahsante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.