Habari za humu wana jamii forum,samahn kulingana na kichwa cha habari tajwa hapo juu naomba ushauri wenu kati ya hizi course mbili ni ipi ni nzuri zaid kwa upande wa Ajira
Kasome accountancy kama kweli hutaki presha ukimaliza chuo.Habari za humu wana jamii forum,samahn kulingana na kichwa cha habari tajwa hapo juu naomba ushauri wenu kati ya hizi course mbili ni ipi ni nzuri zaid kwa upande wa Ajira
Kasome Bachelor of BOT in Ministry of Finance and related financial Institutions kisha ufanye kazi hazinaThanks hiyo CPA inachukua mda gan kuisoma baada ya bachelor
Jinsia yako please!Oooh thanks kwa ushauri ila nimechaguliwa bachelor of arts in Accounting and Finance Mocu
Basi huna bahati nenda jeshini huko mstari wa mbele vitani!Mm ni jinsia ya kiume
Umeshajiandikisha kwenye daftari?Ahsante,nashukuru
You are "on the right tiraki", vua shati tembea kifua wazi huku unasema " tumejenga viwanda 4000 kila mkoa"!!Oooh thanks kwa ushauri ila nimechaguliwa bachelor of arts in Accounting and Finance Mocu
Nakushukur sana kwa ushauri wako CPA inachukua mda gan kumaliza kuisomaYou are "on the right tiraki", vua shati tembea kifua wazi huku unasema " tumejenga viwanda 4000 kila mkoa"!!
Nenda kasome, tena usome na kuelewa...ukimaliza jiunge na CPA classes.
Kila la heri.
Usiwaze sana cpa kwa sasa, utaijua tu muda ukifika. Kwa sasa waza jinsi ya kunaliza salama na Jitahidi uwe na uelewa wa accountancy.Nakushukur sana kwa ushauri wako CPA inachukua mda gan kumaliza kuisoma