Aseee we jamaa Mbona kama nakufahamu kabisa mimi hizi biashara nimezifanya sana huko Geita Katoro, masumbwe, kakola , ukisikia sehemu fulani imehila ni mbio unajua umetajirika ukienda unarudi kapa asee ila pole sana tumepitia hayo wengi
Sent from my iPhone using JamiiForums
Rejea kichwa cha Habari hapo
Naitwa Frank , huu ni mwaka wangu wa 25 , Nimesoma , Nimeajiriwa Serikalini (Tanzania Defence Force) , Ni mwanaume anayejitambua na muelewa sana, Naweza kummudu mwanamke wa aina yoyote ! Naishi Dar , Nahitaji mwanamke mwenye mwili mwili mzuri, mrembo, Shape Nzuri...
Msipende kuomba omba kazi tu mkuu - Unadhani ni kazi rahisi tu ? Okay nenda Ofisi za Afisa Usalama wa wilayani kwako utajuzwa zaidi - lakini mengine yatakayoendelea uwe tayari kuyakabili
Sent using Jamii Forums mobile app
Nauza infinix mpya na box lake full package ina week moja tu mtaani kutoka shop
Hii ni infinix smart 3 plus
Model X627
Ram 2 gb Rom 32gb
Black color
Bei sawa na bure 270,000/- location Pugu-Daresalaam
Ni pm chap
Simu aina ya infinix smart 3 plus
Mpya kitu na Box lake kabisa
Ina week moja mtaani
Ram 2Gb Rom 32Gb
Android version 9
Model infinix X627
Location: Pugu ,Daresalaam
Bei ni sawa na bure wahi 270,000/=
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.