Hata wajaribu kuuficha vipi huu ukweli hawataweza..kuficha huu ukweli ni sawa na kumficha tembo ndani ya starlet..serikali ione aibu isidhani wasomi wote ni mambumbu na walafi wa pesa kama walivyo wasomi wao..wengi tu ni wazalendo...polisi wamemuua mwangosi
msaada kwa yeyote anayeweza kunipa maelekezo namna ambavyo nitaweza.
1..kutengeneza matangazo na kuyaweka katika blog yangu
2..kupata sponsors katika blog yangu
kwa muda mrefu sana watanzania tumekuwa na utamaduni wa kuwapigia kura wagombea ambao huongozana na wasanii katika kampeni zao...tumepigia kura burudani za TOT chini ya komba na khadija kopa, TMK wanaume Family, Bushoke, Marlaw, Dimond..nk..ushauri wangu...2015..tupigie kura sera na umaridadi na...
raisi kikwete amesahau kuwa alkwenda kufungua jengo la ofisi ya spika urambo tabora kwa samweli sitta, akabariki jamaa apigwe chini, sasa lile jengo alilolifungua wameamua kufanyia shughulu gani pamoja na ukweli kuwa kuna milioni kama mia tatu za walipa kodi zilipigwa katika ujenzi wa jengo la...
wabunge wana uwezo wa kumuwajibisha waziri mkuu peke yake na wala sio raisi, raisi kachaguliwa na wananchi, they cant just decide to vote a vote of no confindence to the president in the situation like that
kushinda na kushindwa kwa chadema katika kesi za kupinga uchaguzi wa wabunge mbalimbali hakuna hasara yeyote kwa chadema bali kwa ccm kwa maana kila kesi inafuatiliwa na kuvuta hisia za wananchi wengi hivyo wanaelewa nini ccm wanafanya, zaidi ya yote wanatengeneza sumu ya kuiramba wao wenyeyewe
kila wanachodani CCM kuwa wakifanya kitawaokoa ni njia ya kujipeleka kaburini wao wenyewe, kupinga ubunge wa wabunge wa CHADEMA ambao mpaka sasa wamwshakubalika kwa asilimia 100 kwa watanzania ni kujipotezea wakati bureee..hata wakimvua ubunge LISU bado CHADEMA ktashinda majimbo yote wanayohisi...
Tangu nimeanza kuijua na kuifuatilia siasa ya Tanzania na tangu nimemjua japo kidogo JAKAYA KIKWETE,haya ni baadhi ya maswali ambayo ningependa ayajibu kiukweli na kiuhalisia wala sio kisiasa. Ayajibu kama binadamu anayetambua kuwa kuna binadamu wengine wanaotaabika sababu ya tabasamu lake na...
hawa jamaa ni hatari sana na wanaendelea kuaminiwa na nwtanzania wasiojua ni nini wanafanya...bado najiuliza ofisi ya spika ya urambo iliyogharaim takribani milion 300 inafanya kazi gani sasa....:thinking:
kingunge yupo, msekwa yupo, lusinde snr yupo, makinda yupo n.k hawataki kubadlika wanaojua asili ya chama kuwa sio hii wanayotumikia sembuse wasiojua na wanaosukumwa na utumwa wa fikra??:shock:
Azimio la arusha ni moja ya vitu ambavyo huwa vinanifanya niwaone ni wendawazimu watu wanamsema vibaya mwalimu kuhusu mapungufu yake, kwani pamoja na kuwa binadamu lazima awe na mapungufu lakin huwez kumfananisha hata kidogo na haya majizi yetu ambayo yalikaa kisiri sir na kuliua azimio la arusha.
Ninaomba kupewa msaada juu ya jinsi gani naweza kuboresha blog yangu katika nyajna hzi
1. Kupata sponsors.
2. Kuboresha muonekano wa picha.
3. Kujua jinsi ya kupata matangazo ya kibiashara na gharama zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.