Asnte kwa simulia kipande cha maisha yako, ningependa fahamu location ya filamu itakuwa nchi gani, Mwenyazi Mungu hakupe wepesi kwakila hali unapitia hivi sasa. Natamani pia kuona mwisho wa filamu isiwe kifo.
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
Je vipi kama huyo mzee naye anajua uko na mahusiano na accountant, na vipi kama huyo mzee anajuana na huyo mama wa kampuni unafanya kazi na mpango wote wanaujua ndio mana kakupa likizo, ili uingie kwenye mtihani
Hao vijana wa ifakara ni wadogo sana , afu wanatembea kwa makundi wanajiita halo halo mwaka juzi nilipishana nao ifakara, walikuwa wako wazi sana sijui kwann mamlaka imechelewa kuwakamata
Maisha sio rahisi, na pia Hawa vijana msiwabeze, kwa kusema mnawasaidia afu wanakuwa sio wavumilivu, ukweli ni kwamba vipawa vinatofautiana, pia malezi na mazingira, kama unaweza kumuajiri mwajiri, kama uwezi usimbeze
Mwanamke akililia ndoa kimbia usigeuke nyuma, mwanamke akitoa hela yake afu baada ya siku mbili anaanza kununa pasi sababu kimbia huyo ni V8 injini kubwa atakukomba Kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wana siasa tofauti na watu wengine ule mshipa wa aibu Huwa haupo wakiamua kukutema, yule mwarabu wa kilosa haelewi kabisa japo CCM naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka jana yenyewe gunia la Mahindi lilipanda sana ilifika laki na ishirini na saba mpaka thelathini lakini Kuna watu walikuwa na mizigo ya maana ndani na hawakuuza, na namba ilikaa juu kwa mwezi mmoja tu ikashuka, hii nchi ya asali na maziwa, tuko sehemu salama sana brother
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.