WHAT SHOULD I DO WITH THIS ERROR?
Error mounting /dev/sda5 at /media/ubuntu/8a61c682-0b0d-4279-9908-ad86c77437f5: Command-line `mount -t "ext4" -o "uhelper=udisks2,nodev,nosuid" "/dev/sda5" "/media/ubuntu/8a61c682-0b0d-4279-9908-ad86c77437f5"' exited with non-zero exit status 32: mount: wrong...
mtoto mwenyewe miaka 14, form 1, afu watu na miaka yao ya kobe eri wanaandamana eti kiasi cha mtoto ambaye haja funguka kiakili mnataka kumuua, tuache kuishi maisha ya kuiga tuishi mafundisho na madili ya dini zetu, naamini hakuna dini inayohalalisha kifo.... am out.
tuseme ww ndio wameona unasalio la kupunguziwa kila cku au? Kama ni kweli na hayo malalamiko yako tambua nchi ishauzwa cku nying, kila mwny nacho ashajikatia pande lake, sasa kila mtu anakula urefu wa kamba zake bahati mbaya kwao na nzuri kwetu kwamba mwsho wao ushaanza kunukia. Hata hizo huduma...
cku hizi wanashauri kutoweka namba ya siri cku ya kuzaliwa, hivyo mlifanya kubahatisha sasa na tech. hii hapo inakuwa vigumu kuuusoma mshiko! Ndio hivyo inawezekana ndio akawa amekwenda nao moja kwa zote!
naona ww ni mmoja wa wale ambao hawajui na hawataki kujua kwa jina zuri tunawaita wap.......vu!
Haufikiri na hautaki kufikiria, una mawazo mgando bado, amka kumeshakucha ............. (LOL)
Vp wana JF, nina external harddisk 1TB nimeshindwa kuifanyia setup kwenye window, inaonekana lakini kufunguka mbinde. Nisaidieni kwa hilo, aina ya External ni Goflex
Habarini wana JF!
Poleni na miangaiko ya hapa na pale katika kujenga taifa letu hili la Tanzania.
Wana mie hiki kitu kimekuwa kikiniuma kiasi hata natamani hawa viongozi walio/ wanaosababisha Tanzania yetu izidi kuzama kwenye umasikini na maisha yetu kuzidi kuwa ngumu niwapige r...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.