umewahi kujiuliza kama wewe umeyafanya yote hayo unayotaka ponda afanye? kama wewe ni mtu safi usiye na hila kwa nini umeficha/ hujafanya hayo yote na hata jina lako umeficha hapa jf?
ushaambiwa ni mambo ya autonomic nervous system ambayo ni kitu cha kawaida kutokea katika hali kama hiyo na haijalishi uko kwenye baridi ama joto, mechanism is the same. kwa maana hiyo hali kama hiyo ya majasho kama ulivyosema isipotokea ujue kuna shida na inabidi upate ushauri wa kitaalamu.
na wewe great thinker? kama huna point kuwa mtazamaji tu kama sisi, siyo lazima uchangie kwanza unaharibu thread na lugha ya taifa, kaajila ndo nini sasa.
ombi kwa mods; jaribuni kupitia michango ya baadhi ya watu ikibainika yupo kwa ajili ya kuharibu threads au anatoa points zisizo na mashiko...
kuna nini ktk siasa za bongo?
prof safari alivyotangaza nia ya kugombea uenyekiti tunajua yalomkuta'
zitto alivyotangaza kugombea uraisi tunakumbuka pia sakata lake mpaka sasa chamani
kafulila pia mwelekeo ni kama huo,
hamadi rashidi ukatibu imekuwa nongwa,
ccm wajisemee wenyewe,
na wengine...
dawa ni kufuta ruzuku kwa vyama vyote vya siasa ili vitafute namna ya kujiendesha vyenyewe na ndo tutapata wapinzani wa kweli. . . maana naona wengi wapo kimaslahi zaidi . . .
1. maziwa ya nguruwe, ama
2.mwekee flagyl (metronidazole), ama
3. kuna underlying problem like schizophrenia or epilepsy wit psychotic features. mpeleke mirembe au muhimbili au mawenzi kwa madakitati wa vichaa . . .
na ndo hoja ya thread yako na bora umejidhihirisha baada ya kukosa utetezi katika uzi wako. jaribu kuangalia madhara yake kitaifa zaidi na uweke dini pembeni ndo utaona ugumu unaokuja katika suala la ardhi pamoja na ukristu wako. sidhani kama hao wakenya, uganda na rwanda wanafikra mgando za...
siyo airtel tu mkuu, mi niliweka sh 3000 voda na niliongea dakika kumi tu voda kwenda voda salio likasoma zero. mpaka sasa nimeweka line ya voda pembeni kwa hasira niliyonayo. hawa jamaa naona wameamua kutuibia sasa kwa makusudi kabisa
siyo kweli kwamba hospitali ya muheza wanatoa huduma bure nina uhakika coz i have been there. nenda hata kcmc uliza hata bei ya CT scn kama huja-opt kufa. naona mnajaribu kupoteza maana, topical anataka uhalali wa hayo malipo nyie mnarukaruka tu. .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.