Habari zenu wadau, mdau ana degree ya kwanza ya Bachelor of art with Education, specilized in linguistics and kiswahili, kaishafanya kazi mwaka wa tano huu sasa anataka kwenda kufanya masters ya sociology, je atakuwa kachanganya mafile au hakuna tatizo kitaluma
Karibuni kwa ushauri.
sasa mtihani kuwa mgumu ndiyo ajiue dah naunga mkono kauli ya mdau hapo juu kuwa conseling is deed at higher learning institution maana watoto hawajitambui akisikia sap anahisi kifo
kujua ni vitendo katika jambo mnasema pratrical wakati kuhafamu ni theory mfano unapokuwa darasan nakufundisha jinsi na kuvua samaki basi ile hali ya mimi kukufundisha na wewe kuelewa kwa kujibu maswali unakuwa umefahamu na nikikupa ndoano au nyavu ukaenda kuvua kwa kufuata jinsi...
nikuambie kitu huyo dada hana muonekano wa mvuto so anajihisi ni mbaya kwaiyo vuta subila utamuona tu ila kiukweli kimuonekano wa sura atakuwa si mzuri sana kama unapenda muonekano wa sura basi hakuna mke hapo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.