Search results

  1. Tebajanga

    Nina nyumba uswahilini inatengeneza Tsh. 40,000/- kwa mwezi, niendelee au napoteza muda?

    Mkuu mi na mawazo tofauti kidogo. Kama hiyo nyumba imezungukwa kila sehemu, basi vunja hiyo nyumba halafu patengeneze kuwe sehemu ya kupumzikia / zile playground za watoto. Najua majirani hao hawakosi watoto, kwahiyo watapenda tu kuja kupoteza mda hapo na utakuwa unawachaji hela ndogo tu...
  2. Tebajanga

    Kwanini Serikali isiweke utaratibu wa watoto wa nursery na daycare kuingia saa 3 asubuhi?

    Mkuu unamaanisha International schools kweli au ulitaka kusema English Medium?
  3. Tebajanga

    Harufu ya utapeli, kuna watu watalia na kusaga meno soon

    Mimi walinitafuta wakanitumia 15,000. Wakashusha commission kutoka 1000 hadi 500 kisa sikufanya hiyo task yao ya prepaid (Ya kutuma hela). Nikawaambia basi wanikopeshe 50,000 ili niiweke kwao, na nikipata faida nitawarudishia hela yao, mpaka leo hawajanijibu. Mi ninavyoona ukikutana na hawa...
  4. Tebajanga

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Nimekuelewa, utaziweka kwa mda mrefu. Ila kwanini usifanye hivi; Hiyo amount ambayo unapanga kuirejesha benki kila mwezi kwa miaka tisa, badala ya kuchukua mkopo na uipeleke benki, basi kila mwezi iweke UTT, naamini ukifanya hivyo ndani ya hiyo miaka 9, hela yako ya UTT inaweza kufika zaidi ya...
  5. Tebajanga

    Ninataka kuchukua mkopo wa Tsh. Milioni 50 Benki ya CRDB kwa miaka 9, marejesho jumla nitalipa M90

    Mkuu, kwa nilivyokuelewa hiyo 400K ni rejesho ya riba, Je rejesho lote (riba + deni) kwa mwezi itakuwa kiasi gani? Umesema unataka kuweka UTT, kwa uelewa wangu ukiweka UTT hiyo 50M mfuko wa bond, kwa mwezi utapata ~430K. Je hiyo faidia ya mwezi kutoka UTT itaweza kulipa rejesho lote la mwezi...
  6. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Mkuu, nimeiona sema hii ni model ya 80, natafuta ya model 85. Inaandikwa hivi; LG 65QNED85 miniLED au LG 75QNED85 miniLED.
  7. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Asante sana mkuu, nadhani hiyo 65 inches itakuwa nzuri zaidi. Naomba unitumie picha niweze kuona.
  8. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Sawa mkuu. Naomba unitumie picha yake niweze kuiona.
  9. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Unapatikana wapi mkuu, na unaiuza bei gani? Je ni brand new au used?
  10. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Asante mkuu, hao nimeshawacheki. Ila model ya 85, hawana wana ya 80 tu.
  11. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Nilishacheki, ninayotafuta ni ya mwaka 2022. Ya 2023 nimeiona kwenye site ya LG UAE ndo wanaanza kuiuza miezi hii.
  12. Tebajanga

    Natafuta Television ya LG QNED85 miniLED 2022 inches 65 au 75

    Habari za leo wakuu. Nimejaribu kutafuta hiyo television kwenye maduka mbalimbali kwa Dar es Salaam na sijafanikiwa. Nyingi ambazo nimeziona ni LG QNED80, ila ninahitaji model ya namba 85. Imenibidi kuulizia humu nadhani nitapata mwongozo.
  13. Tebajanga

    Bei ya hizi TV inanitia shaka ubora wake ingwa napendaga vitu cheap

    Mkuu DeepPond - Ninatafuta sana Televesion ya LG model QNED85 MiniLED 2022, unayo au unafahamu sehemu ambapo zinapatikana?
  14. Tebajanga

    Nini kilichosababisha gharama za internet kupanda? Mkongo wa taifa hauna mahusiano na kupanda au kushuka kwa internet?

    Mkuu jaribu kutumia vifurushi vya unlimited vile unavyolipia kwa mwezi, vinasaidia sana.
  15. Tebajanga

    Nawezaje kuwa programmer wa kike?

    Mkuu, pia jaribu kuangalia unataka kufanya programming kwenye field gani, mfano Web development, mobile applications, Machine Learning / data science, desktop applications developemt au hardware programming. Baada ya hapo katika hiyo field angalia lugha ambayo ina trend kwenye kupata support na...
  16. Tebajanga

    Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    Kwa mimi sijawahi itumia nje ya Dar es Salaam. Ila pindi nilivyopata Router, nilisikia kuna nyingine zilikuwa zinatumwa mikoani. Na ninaimini zitafanya kazi hata mikoani kwani router ina support hata 4G. Wasiliana na Vodacom, watakupa maelezo ya kufanya na kuna mkataba utapewa, utaupitia na...
  17. Tebajanga

    Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    Yes, router yao unaweza kuhama nayo, ilimradi tu kuwe na source ya umeme. Angalizo sehemu ambayo utaenda kama kukiwa hakuna 5G basi utatumia 4G.
  18. Tebajanga

    Miezi mitatu tangu nianze kutumia 5G Home Internet ya Voda Supakasi. Hiki ndicho nilichoki-experience so far

    mdhalendo Mimi natumia hii huduma na so far naona ipo vizuri. Ninakaribia miezi miwili na mtandao ulisumbua kama mara mbili, ila badda ya mda mfupi tatizo liliisha. Kuna vitu inabidi ufanye, kwenye hiyo Fast Mile router kuna taa pale juu zipo tatu, kama haziwaki nenda kwenye settings na...
  19. Tebajanga

    Bando la internet linawahi kuisha kwa sasa

    Kama una uwezo tafuta vifurushi vya bila kikomo, na utalipia kwa mwezi. Hii inasaidia sana.
  20. Tebajanga

    TCRA fuatilieni makato ya intaneti kwenye mitandao ya simu

    Ni kweli kwa sasa MB ni gharama sana, ila ukiwa na kompyuta au hizi simu za smartphones mara nyingi unapowasha kifaa chako kuna services / applications mbalimbali huwa zinafanya kazi chini kwa chini na kutumia internet ili ziweze kupata taarifa za kukupatia mfano: WhatsApp notification. Kwa...
Back
Top Bottom