Search results

  1. Braitfyucha

    Fursa ya Ajira(Wasap no.0652058349)

    Habari za muda huu wakuu, rejea mada tajwa hapo juu Natamani kuona vijana wa kitanzania wakipiga hatua kiuchumi mwaka huu wa 2020. Kama utahitaji njoo pm au nitext kwa namba yangu wasap nimebandika hapo juu Yeyote anaetaka kuwa huru kiuchumi karibuni. NB:Sihitaji watu wasiokuwa serious na...
  2. Braitfyucha

    Mungu nisamehe kwa nilichotaka kufanya

    Pole dada,, lakini usiwe na hasira kiasi hicho...japokuwa umeumizwa sana kosa la mume wako alaf wewe unataka kujiua faida yake nini sasa na mbaya zaidi na mtoto. Mwambie Mungu atajibu maana yeye ndiye anaelipa kisasi Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Braitfyucha

    Kama hupandishi mishahara ili kubana matumizi,ondoa basi na mashangingi serikalini

    Hahaha tatizo uoga mkuu,,bongo kuna wahitimu wengi wa vyuo vikuu lakini sio wasomi fikra zetu ni kuajiriwa tu ndio tatizo liko hapo kuna jamaa angu alikuw mhandisi Tanroads mshahara 1m per month kaacha kaz serikalini kajiajiri kuna mwingine alikuw mhandisi wa madini Barrick buzwagi kahama...
  4. Braitfyucha

    Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

    Anastahili pongezi mtoa uzi
  5. Braitfyucha

    Ndoa mashakani: Nina miaka 30, sina hamu na tendo la ndoa!

    Uko kwenye cave mkuu,, wala usihofu utarudi kwenye mood tu
  6. Braitfyucha

    Q-Net na Forever Living zimenipotezea marafiki zangu wa karibu

    Janja janja nyingi sana dunia hii,,usipokuw makini pesa unapigwa alaf hamna kinachoendelea
  7. Braitfyucha

    Halotel waja kivingine

    lipia tangazo
  8. Braitfyucha

    Nimetaftiwa mchumba ambae alikuwa dem wangu!

    huku sio facebook kijana
  9. Braitfyucha

    Kanuni 30 kwa wanawake ndani ya ndoa

    wake zetu watarajiwa mkuje kwa darasa
  10. Braitfyucha

    Jamani dada zetu kama mtu humpendi, usipende na vitu vyake

    Huo ni unyanyasaji na udharilishaji wa wanawake Yani huwezi kumsaidia mpaka akuvulie chupi. Wanaume tubadilike hizi ni akili za kitoto alaf unapoomba kitu huwa sio lazima ukubaliwe ombi lako mpaka amekuja kuomba msaada kwako ina maana wewe ni mtu muhimu kwake wewe msaidie tu kama binadamu...
  11. Braitfyucha

    Tuliotoka na cleansheet University tufahamiane

    darasa la saba tunacoment wap
  12. Braitfyucha

    Hataki kuchukua mahari yake nifanyeje??

    Utaolewa tu dada coz kila mtu ni tofauti sana hapa duniani. shetani anajitahidi sana kuwachafua wadada wengi waonekane hawana sifa za kujenga familia wakati ni wake wazuri kabisa wa kuoa i mean kuna wadada wanatumika kutenda matendo mabaya yanayowachafulia sifa hata wadada wazuri(wife materials)...
  13. Braitfyucha

    Mimi ni muathirika wa UKIMWI

    hahahahaa mmmh kuna kunena kwa lugha kumbe humu
  14. Braitfyucha

    Mimi ni muathirika wa UKIMWI

    Pole sana dada,, Kwakuw ulishajitambua hali uliyonayo usiendelee kuambukiza wengine Muogope Mungu wako
  15. Braitfyucha

    Mimi ni muathirika wa UKIMWI

    Hapana usilie dada,, kwasababu zifuatazo. 1:Imeshatokea huwezi kubadili,,chakufanya badili mtazamo kuhusu hali uliyonayo kwasasa 2:kubali kwamba ulifanya makosa alaf samehe yote yaliyotokea ukianza na wewe mwenyewe kujisamehe 3:Si wewe peke yako mwenye tatizo hilo 4:japokuw ndugu zako wanaku...
  16. Braitfyucha

    Wanawake wa sikuhizi nani amewaroga?

    Umefafanua vizuri sana mkuu,,chanzo cha ubinafsi ni dhambi na kwa bahati mbaya sana wanadamu tulianza kuwa wabinafsi tu baada ya kupungukiwa na utukufu wa Mungu Ndoa nyingi sana leo hii ambazo mwanaume au mwanamke akiwa ni mbinafsi zinateseka sana na wakati mwingine zinafikia hatua ya kutalakia...
  17. Braitfyucha

    Wanawake wa sikuhizi nani amewaroga?

    Yap!kinachofanya mtu aonekane amekua sio tu idadi ya miaka aliyonayo bali ni badiliko la fikra na mitazamo ya maisha katika uhalisia hata maandiko ya biblia yako wazi kabisa kila jambo lina wakati wake kuna wakati vitu fulani fulani inabidi tuvitupe kule na ku focus future zaidi Sent using...
  18. Braitfyucha

    Wanawake wa sikuhizi nani amewaroga?

    Ndio hivyo,,Mungu atusaidie sana kwakweli. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom