Kwa mwenye kujua namna ya utatuzi katika mfumo huu mpya wa bodi ya mikopo Helsb yaan kila niki attach file kwenye Guarantor id card in pdf form ina leta mrejesho wa
Invalid file type naombeni msaada
Nilikua nasumbuliwa na tumbo ambalo nilidhani ni tumbo la kawaida, kwani lilikua limewai kuniuma mara kadhaa apo nyuma sana .
Kwa kipindi hiki likaja na maumivu makali zaidi ambayo hua naya sikia upande wa kulia maeneo ya tumboo.nilikwenda hospital ilioko mwanza itwayo butimba ndipo baada ya...
Kijana wa miaka 22 niko nae hapa hana elimu lakin anajua kusoma na kuandika ila hakumaliza darasa la saba kutokana na familly problem, alikua anafanya kazi nyumbani mjini mwanza ya kuhudumia ng'ombe kwa mshahara wa elfu55 lakini kwa bahati mbaya kwa sasa ufugaji nyumbani umesitishwa. ni mchapa...
Nilikua na mpango wa kusoma kombi zenye Physics lakini matokeo yamekuja vibaya kwa hili naombeni msaada
Matokeo yangu ni Phys-F, Civ-D, Chem-D, Math-C, Bio-C, Geo-C, Hist-C, Eng-C, Kisw-C.
Chochote kilicho bora kwangu ndo chaguo
Naombeni msaada kombi gani nisome advanc "nimemaliza kidato cha nne mwaka 2018 najiandaa kuingia kidato cha tano lakin nashindwa kufanya chaguo la combi"matokeo yangu ni Hist-C,,Geo-C,,Kisw-C,,Eng-C,,Bio-C,,Math-C,,Civ-D,,Chem-D,,Phy-F
Mpango wangu ulikua kusomea kombi zenye physics lakin...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.