Victor Chilambo
Senior Member
- Jan 31, 2019
- 111
- 43
Nilikua na mpango wa kusoma kombi zenye Physics lakini matokeo yamekuja vibaya kwa hili naombeni msaada
Matokeo yangu ni Phys-F, Civ-D, Chem-D, Math-C, Bio-C, Geo-C, Hist-C, Eng-C, Kisw-C.
Chochote kilicho bora kwangu ndo chaguo
Matokeo yangu ni Phys-F, Civ-D, Chem-D, Math-C, Bio-C, Geo-C, Hist-C, Eng-C, Kisw-C.
Chochote kilicho bora kwangu ndo chaguo