Habari zenu wakubwa na wataalam wa afya. Nisaidieni hapa, niko kwenye mahusiano na binti mwenye huu ugonjwa wa thyroid na tayari uvimbe imeonekana shingoni kwa pande zote mbili, sasa nimekuwa nikimuuliza yale anayoambiwa akienda hosipitali lakini amekuwa muongomuongo, ananiambia anaambiwa...
Kenya unaingia bila kitu chochote. Bora tu uwe na 1000ksh ya kuhonga dereva ili usisumbuliwe njia. Na ukishaingia nairobi utatembea kila mahali bila shida
Niko Nairobi nchini kenya mkuu. Fanya uchunguzi kati ya biashara ya kuuza viatu, nguo, tv, sabufa au simu. Yenye utaipenda hapo uniambie nikutafutie chimbo za vitu za bei rahisi uwe unakujia hapa na ukienda kuuza utapata faida kubwa sana.
Maneno yenye nguvu sana. Umenitia nguvu sana ya kuendelea kazini maana napitia changamoto ya chuki kazini baada ya kupandishwa cheo. Na anayenipiga vita ni mzee tu wa miaka 50+. Aisee wanadamu sijui wako na shida gani, wakiona tu mtu amepandishwa cheo basi vita inaanza mara moja.
Nakumbuka niliwahi kufukua mbegu ya mahindi ardhini nikayala ikiwa mbichi sababu ya njaa kali niliyokuwa nayo. Njaa sio mchezo hadi magamba ya puani nilikuwa natoa nakula sababu ya njaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.