Kama sijakosea kwenye uzi wako wa kwanza, wewe ndio ulimpenda na ukamwambia kuwa unampenda na akakujibu kuwa yupo kwenye mahusiano na anatarajia kufunga ndoa! Ukamjibu kuwa upo okay kwa hiyo hali na hutaharibu mahusiano yake! Sasa kelele za nini? Uliyataka mwenyewe!
Habari wana JF!
Nina mpango wa kutimiza ndoto yangu ya muda mrefu ya kuanzisha chuo kitakachokuwa kinatoa course kwa ngazi ya Cheti na Diploma kwenye fani za Kilimo, Mifugo na maendeleo ya jamii mkoani Singida. Naomba ushauri kutoka kwa Wana JF wowote wenye kujua utaratibu ukoje ambao unaweza...
Habari za leo wana JF,
Ninahitaji incubators zenye uwezo wa kuchukua mayai kati ya 140-180, kwa yeyote mwenye nazo naomba aje PM ili tuwasiliane ili tufanye biashara.
Asante.
Asante sana kwa ushauri wako, binafsi sihitaji Visa card ambayo imeunganishwa na account yangu, nilitaka kupata ya BancABC kwa sababu ntakuwa najaza pesa pekee na nafanya manunuzi na si kupitia account yangu ya Benki ambayo benki zingine zinafanya hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.