Mamilox mmoja nchini Uingereza anaeitwa Elizabeth..'Alaf haya majina ya Eliza haya!'anyways Mwanamke huyo aliewahi kutembea na wanaume 221 amefanya kufuru baada ya kuamua kufunga ndoa na Mbwa ambae alikua akiishi nae nyumbani kwake.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Wasalaam wadau natumai mko salama kabisa..Direct to the point.
Dj wa Clouds Media Group(CMG) Bwana Omary Said aka Dj D-Ommy,The International DJ,Mr.Washawasha,Jitu nene.Chalii mwenye mikono yenye kasi na nguvu.
Amewekwa kwa mala nyingine tena na@afrimma kuwania kipengele cha Dj bora wa Afrika...
Habarini za muda huu wadau..Nimekua nikifatilia matangazo mengi sana ya Redio na Tv hapa Bongo especially Clouds FM na TV.
Clouds FM haiwezi kupita siku bila kuskia tangazo la Phillip Mwihava,Gadner G.Habash na Antonio Nugaz.
Antonio Nugaz(Mtembezi)anae'run kipindi cha Kambi popote pale Clouds...
Bila salamu...Direct to the point(NB:Sitatumia Ngareroo slangs watu wanalalamika hawaelewi,So Shunie Am sorry coz unapenda Ngareroo slangs),Jana usiku nikiwa alone kama kelvin ghettoni nacheki movie ya Mtu mzima Tony Jaa na Washkaji zake kina Tiger Chen,Scott Adkins,Celina Jade,Michael Jai...
Ni ajeee wana wa humu Ndichi hopefully mambo ni full yeng'eng'e...Basi bhana Jana Night baada ya kutoka kwenye Mbanga zangu za kusakanya Moneygram mjuba nikaona bora nipitie Shola(Shop)Nijipoze ata na Pepsi Big mambo yawe yechu yechu...Nikiwa dukani pale kwa chaliangu mmoko ivi Msukuwise toka...
"Chama anza vizuri kwake Bocco Bocco ana'turn vizuri kabisa pale .Pembeni Kwake Hassan Dilunga HD..Dilunga mwaga ndani kuleee Cluuuuuuuuuuu.....Maajabu!!!,Maajabu!!!,(Anakaa kimya kama dakika mbili. hivi).....Haya ni maajabu linafungwa goli gani hili??Macho yako yameona kama mimi.!?...Nauliza...
Habari zenu wakuu,Natumai mko salama...Direct to e' Point,Yule Mjasiriamali msomi wa mambo ya TV Productions na Mrembo ambae pia ni Boss/CEO wa Redio Lake FM 102.5 Iliyopo Mwanza Tanzania Mrs.Doreen P.Noni ameanzisha kipindi cha TV ambacho kinachoitwa 'Tena na Tena/Again & Again' Ambacho...
Miss Utalii alipokutanishwa na kiumbe kimojawapo chenye kivutio kizuri kwa watalii Mambo yakawa kama mnavyomuona hapo,Nahisi vitu kama maji vishamchururuzika tayari.
@ChaliiYaKijengeJuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.