Search results

  1. princemikazo

    Afunga Ndoa na Mbwa.

    Mamilox mmoja nchini Uingereza anaeitwa Elizabeth..'Alaf haya majina ya Eliza haya!'anyways Mwanamke huyo aliewahi kutembea na wanaume 221 amefanya kufuru baada ya kuamua kufunga ndoa na Mbwa ambae alikua akiishi nae nyumbani kwake. @ChaliiYaKijengeJuu.
  2. princemikazo

    Vote For DJ D-Ommy as Best Dj in Africa

    Wasalaam wadau natumai mko salama kabisa..Direct to the point. Dj wa Clouds Media Group(CMG) Bwana Omary Said aka Dj D-Ommy,The International DJ,Mr.Washawasha,Jitu nene.Chalii mwenye mikono yenye kasi na nguvu. Amewekwa kwa mala nyingine tena na@afrimma kuwania kipengele cha Dj bora wa Afrika...
  3. princemikazo

    Ilikua noma sana Club Cocoriko Arusha

    Clouds Dj's waliki'happenisha kinyama fas ya Cocoriko Club Chuga, @ChaliiYaKijengeJuu
  4. princemikazo

    Mdada akituonesha gari lake jipya

    Mdada akituonesha gari lake jipya na jinsi lilivyopatikana. @ChaliiYaKijengeJuu.
  5. princemikazo

    Antonio Nugaz, Captain Gadner G.Habash na Phillip Mwihava, nani mkali wa matangazo?

    Habarini za muda huu wadau..Nimekua nikifatilia matangazo mengi sana ya Redio na Tv hapa Bongo especially Clouds FM na TV. Clouds FM haiwezi kupita siku bila kuskia tangazo la Phillip Mwihava,Gadner G.Habash na Antonio Nugaz. Antonio Nugaz(Mtembezi)anae'run kipindi cha Kambi popote pale Clouds...
  6. princemikazo

    Diamond Platnumz

    Imeisha iyo dingiii. Uzi tayari. @ChaliiYaKijengeJuu.
  7. princemikazo

    Nilidhani Najua Style zote za kitandani kumbe....

    Bila salamu...Direct to the point(NB:Sitatumia Ngareroo slangs watu wanalalamika hawaelewi,So Shunie Am sorry coz unapenda Ngareroo slangs),Jana usiku nikiwa alone kama kelvin ghettoni nacheki movie ya Mtu mzima Tony Jaa na Washkaji zake kina Tiger Chen,Scott Adkins,Celina Jade,Michael Jai...
  8. princemikazo

    Nimemuokoa demu alikua akipigwa na wahuni

    Ni ajeee wana wa humu Ndichi hopefully mambo ni full yeng'eng'e...Basi bhana Jana Night baada ya kutoka kwenye Mbanga zangu za kusakanya Moneygram mjuba nikaona bora nipitie Shola(Shop)Nijipoze ata na Pepsi Big mambo yawe yechu yechu...Nikiwa dukani pale kwa chaliangu mmoko ivi Msukuwise toka...
  9. princemikazo

    Baracka Mpenja'Sports Commentator n'nae mkubali zaidi Bongo'

    "Chama anza vizuri kwake Bocco Bocco ana'turn vizuri kabisa pale .Pembeni Kwake Hassan Dilunga HD..Dilunga mwaga ndani kuleee Cluuuuuuuuuuu.....Maajabu!!!,Maajabu!!!,(Anakaa kimya kama dakika mbili. hivi).....Haya ni maajabu linafungwa goli gani hili??Macho yako yameona kama mimi.!?...Nauliza...
  10. princemikazo

    Dooh..!!Chalii kashamkosesha demu mwenzake.!!

    Aisee..!! @ChaliiYaKijengeJuu.
  11. princemikazo

    Samahani nilikua nauliza et....

    Eti wadau hizo umo kwenye Kreti la kijani ni Nyanya au Maembe yale?? @ChaliiYaKijengeJuu.
  12. princemikazo

    Boss wa Lake FM Aanzisha kipindi katika Clouds TV.

    Habari zenu wakuu,Natumai mko salama...Direct to e' Point,Yule Mjasiriamali msomi wa mambo ya TV Productions na Mrembo ambae pia ni Boss/CEO wa Redio Lake FM 102.5 Iliyopo Mwanza Tanzania Mrs.Doreen P.Noni ameanzisha kipindi cha TV ambacho kinachoitwa 'Tena na Tena/Again & Again' Ambacho...
  13. princemikazo

    Twenty Twenty'2020'

    #Imeisha Iyo. @ChaliiYaKijengeJuu.
  14. princemikazo

    Mikataba mibovu kwa Investors

    #Imeisha Iyo. @ChaliiYaKijengeJuu.
  15. princemikazo

    Ubunifu wa Africa

    #Imeisha Iyo. @ChaliiYaKijengeJuu.
  16. princemikazo

    Syria

    @ChaliiYaKijengeJuu.
  17. princemikazo

    Style Mpya ya Nywele ya Harmonize.

    Aisee..!! @ChaliiYaKijengeJuu.
  18. princemikazo

    Let them Study(Waache Wasome)

    @ChaliiYaKijengeJuu.
  19. princemikazo

    Miss Utalii alipokutanishwa

    Miss Utalii alipokutanishwa na kiumbe kimojawapo chenye kivutio kizuri kwa watalii Mambo yakawa kama mnavyomuona hapo,Nahisi vitu kama maji vishamchururuzika tayari. @ChaliiYaKijengeJuu.
  20. princemikazo

    Pale unapotembea na mke wa kinyozi.

    Pale unapotembea na mke wa kinyozi alaf Kinyozi anakujua lakini wewe hujui. @ChaliiYaKijengeJuu.
Back
Top Bottom