princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Bora ujinga usio na hasara kuliko Elimu isiyokua na faida.Ujinga
Hujambo lakini?Uuwiii sema sisi wanawake kikawaida niwaoga bana. Tukiona, panya , mijusi tu tunaruka mpaka basi ije kuwa nyoka tena mkubwa ka huyo.
Ana haki huyo Dada ya kufanya hivyo kwa kweli.
Mie Alhamdulillah.Hujambo lakini?
Kuhisi ni kufeel by using sense of touch,sasa inakuaje jambo linatokea kwa mwingine lakini hisia unakuanazo wewe? ni bora ungesema Nadhani.Miss Utalii alipokutanishwa na kiumbe kimojawapo chenye kivutio kizuri kwa watalii Mambo yakawa kama mnavyomuona hapo,Nahisi vitu kama maji vishamchururuzika tayari.
@ChaliiYaKijengeJuu.
Oooh sawa Oni Sigara nimekupataKuhisi ni kufeel by using sense of touch,sasa inakuaje jambo linatokea kwa mwingine lakini hisia unakuanazo wewe? ni bora ungesema Nadhani.
Ndio nani huyo?Oooh sawa Oni Sigara nimekupata
Hmm!!Ndio nani huyo?
Mhariri Mwandamizi wa BAKITA mkuu.Ndio nani huyo?