princemikazo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2019
- 2,197
- 2,051
Habarini za muda huu wadau..Nimekua nikifatilia matangazo mengi sana ya Redio na Tv hapa Bongo especially Clouds FM na TV.
Clouds FM haiwezi kupita siku bila kuskia tangazo la Phillip Mwihava,Gadner G.Habash na Antonio Nugaz.
Antonio Nugaz(Mtembezi)anae'run kipindi cha Kambi popote pale Clouds TV ambae pia ni Mshereheshaji'MC' wa sherehe mbalimbali,akiwa pia kasomea mambo ya ICT,Huyu jamaa huchoki kuskiliza matangazo yake na ana uwezo wa ku'create Matangazo ya aina nyingi na kuyatia nakshi na mbwembwe au Udambwi udambwi mwingi alaf yanavutia kinoma yaani,Iwe matangazo ya Mpira,Vyuo,Shule...Mfano matangazo ya Yanga wiki ya mwananchi,Kikosi cha Simba,Ni vita ya Tanzania na Congo kwenye Masumbwi nk.
Phillip Mwihava ni Mtangazaji wa Kipindi cha Powerbreakfast on Saturday,pia ni Mshereheshaji'MC'na Producer/Muandaaji wa Kipindi cha Powerbreakfast cha asubuhi saa1 hadi4 cha kina Barbara Hassan,Sizza,Masoud Kipanya na Fredwaa,,,Huyu jamaa anafanya na kusoma matangazo mengi sana ya Vyuo,Shule,biashara kwa utulivu sana..Hakika hachoshi kumsikiliza.
Captaaaaiiiiinnnn Gadner G.Habash,Huyu Dingilii ni Mwanzilishi na Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi la Clouds FM saa10 hadi Saa1 Usiku akiwa na George Bantu na Paul James'PJ'pia nae ni Mshereheshaji'MC'Yupo kama Mtembezi matangazo yake yana Mbwebwe na udambwidambwi mwingi sana unaovutia,Gadner hu'create na ku'air matangazo ya Show mbalimbali za wasanii mfano Nandy festival,East Africa Got Talent Pamoja na Fiesta,pia hufanya matangazo ya Burudani kama vile Boxings,Football match nk.
Swali ni jee..?Yupi unaemkubali kwa matangazo kati ya hawa raia mtu3?
@ChaliiYaKijengeJuu.
Clouds FM haiwezi kupita siku bila kuskia tangazo la Phillip Mwihava,Gadner G.Habash na Antonio Nugaz.
Antonio Nugaz(Mtembezi)anae'run kipindi cha Kambi popote pale Clouds TV ambae pia ni Mshereheshaji'MC' wa sherehe mbalimbali,akiwa pia kasomea mambo ya ICT,Huyu jamaa huchoki kuskiliza matangazo yake na ana uwezo wa ku'create Matangazo ya aina nyingi na kuyatia nakshi na mbwembwe au Udambwi udambwi mwingi alaf yanavutia kinoma yaani,Iwe matangazo ya Mpira,Vyuo,Shule...Mfano matangazo ya Yanga wiki ya mwananchi,Kikosi cha Simba,Ni vita ya Tanzania na Congo kwenye Masumbwi nk.
Phillip Mwihava ni Mtangazaji wa Kipindi cha Powerbreakfast on Saturday,pia ni Mshereheshaji'MC'na Producer/Muandaaji wa Kipindi cha Powerbreakfast cha asubuhi saa1 hadi4 cha kina Barbara Hassan,Sizza,Masoud Kipanya na Fredwaa,,,Huyu jamaa anafanya na kusoma matangazo mengi sana ya Vyuo,Shule,biashara kwa utulivu sana..Hakika hachoshi kumsikiliza.
Captaaaaiiiiinnnn Gadner G.Habash,Huyu Dingilii ni Mwanzilishi na Mtangazaji wa Kipindi cha Jahazi la Clouds FM saa10 hadi Saa1 Usiku akiwa na George Bantu na Paul James'PJ'pia nae ni Mshereheshaji'MC'Yupo kama Mtembezi matangazo yake yana Mbwebwe na udambwidambwi mwingi sana unaovutia,Gadner hu'create na ku'air matangazo ya Show mbalimbali za wasanii mfano Nandy festival,East Africa Got Talent Pamoja na Fiesta,pia hufanya matangazo ya Burudani kama vile Boxings,Football match nk.
Swali ni jee..?Yupi unaemkubali kwa matangazo kati ya hawa raia mtu3?
@ChaliiYaKijengeJuu.