Yani nilijua bonge la hoja kumbe upuuzi mtupu subili mtaona chamoto kumbe mnaumia kutjwa wakati mna yataka wenyewe uzuri alie mtishi zitto anaitwa Thobia mwesiga tunamjua wew na unaleta mambo yenu hapa lumumba kwendlaaa kiza cha kutumwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani kizungu raha meko aliwahi kuhojiwa baada ya kivuko kuanguka majini akiwa wazir alisema namunukuu kama ifuatavyo offcouse people used to die in the in the lake sas najiuliza mara paaapu HARDTALK imemuibukia dunia nzima itashangaa haaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu habari za saiz kwanza mtaniwia radhi kwa rafudhi yangu, mimi nina mke tunamiaka 3 ndani ya ndoa yetu mwaka tulio ingia kutimiza miaka 3 nilimuomba mke wangu nikatafute maisha Dar es salaam miezi minne baadae na yeye nikamleta Dar es salaam.
Akakaa mwaka mzima tukapanga tujikite kwenye...
Ndugu mwandishi kama amedaganya camera za cctv za area D zote zimewekwa upya maana za mwanzo muliztoa ila kwa taarifa yakp tangu wazing'oe wajaweka tena na zilitoka baada ya kushambuliwa mlivo wajinga hata mbinu hamjui acha awachane
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.