ArchAngel
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 4,516
- 3,754
Jambeni tu mwanawane huu mwarobaini mlioutengeneza mtaunywa wote uishe msiwe na wasiwasiKatibu mkuu wa CCM Dkt Bashiru Ally akiwa ziarani Morogoro ametaja ugonjwa unaomsumbua Tundu Lisu kuwa ni deko .
Dalili za ugonjwa wa deko ni zarau ,majivuno ,kuota kuwa rais wa Tanzania ,kulialia, ushoga na kujikomba kwa wazungu.
Sababu ya ugonjwa wa deko ni malezi mabaya ya utotoni na inaonekana Lisu amelelewa kimayaimayai sana, ndiyo maana anadeka mpaka jitu zima la uzeeni.
Katibu Mkuu CCM: Tundu Lissu Anaumwa Ugonjwa wa Deko na Kiburi | MPEKUZI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Sukhoi Su-57