Kwa upole na busara tu jamani naomba tuelezane ni wapi kumekuwa na fair play katika mchakato wa kupata wagombea wa uraisi kati ya CCM na CHADEMA.
Kati ya Slaa na Lowassa nani kakatwa kwa kudharauliwa?
Slaa ameprove kuwa hanunuliki. Inasikitisha zaidi kuona CHADEMA wanavyoweza kumuona si lolote tena katika chama. Hii imeonekana kuanzia kwa viongozi mpaka humu jamvini
Hawakuwa na mgombea ndo maana wakamsubiri hadi aje. We jiulize kwa nn walikuwa hawatangazi mgombea pamoja na kutuambia washampata? Unawezaje kumpa nafasi kama hiyo mgeni kwenye chama?
Habari wana jamvi
Simu yangu ni Tecno M5 nimejichanganya kwenye setting imekuwa kila ninachocomand inaongea. Kibaya zaidi inagoma baadhi ya application na haiendi tena kwenye setting, haikubali scroll up wala done ni home screen tu.
Naomba kwa mwenye ujuzi wa kutatua hili anisaidie tafadhali.
Acha chuki zako za ajabu, inaonyesha uliifungua hi thread ukiwa tayari ushaandaa majibu ya kejeli kwa rais flani ambaye una hamu tu ya kumkejeli na kuchochea udini sehem fulani.Baada ya kukuta siye unaanza kushtuka.
Habari wanajamvi,
naanza moja kwa moja kwa kueleza hili kwa furaha isiyo kifani juu ya hizi fikra za udini UDOM zilivyotapakaa.
Yani pale UDOM ukiwa muislam tu, ushapata kazi
Nafasi karibu zote za juu ni waislamu
Ustadh Kikwete kajaza waislam UDOM na katika idara nyingi za serikali
Dr Ame...
Hello JF Doctors, nina tatizo la jino kutoboka na nimeshauriwa kufanya root canal, ni nini hii kitu na je ina madhara yoyote?naomba maelezo kwa mwenye ufahamu juu ya hili
Q: In which battle did Sultan die?
A: His last battle.
Q: Where was the declaration of independence signed?
A: At the bottom of the page.
Q: Whats the main reason 4 divorce?
A: Marriage?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.