Nauza vyungu vya kuyeyushia Dhahabu pamoja na vifaa vyote vinavotumika Elution pamoja na Scale za Tanita za Japani, Na vipimo vya maji kwa ajili yakuangalia asilimia kwa Bei nzuri kabisa. Kwa mawasiliano: +255689511212 or +255778353535
Whatsapp +971589413651
Wadau nauza Excavator HITACHI Zaxis 210 LCH. Lipo Mbeya wilaya ya CHUNYA Bei ni 130,000,000 maongezi yapo. Lipo vizuri na mashine yake haijawahi kufunguliwa.
Wasiliana nami kwa Namba zifuatazo:-
+255778353535 / +255689511212
Nauza Excavator Hitachi Zaxis 210 LCH Tsh. 130,000,000. Mazungumzo yapo kwa muhitaji.
Excavator ipo Mbeya Wilaya ya Chunya. Mashine yake ni ya ISUZU, ipo vizuri sana kwa maana haijawahi kufungiliwa.
Gari la mafuta linawaka moto muda huu maeneo ya karibu na Morogoro, Gari nyingi sana zimekwama kutokana na madereva kuogopa yaliyotokea miezi miwili nyuma.
Nimepata mwaliko wa kwenda UK kwa ajili ya matembezi ya wiki mbili, nataka nitumie 'supporting documents' za kampuni ili niweze kuombea Viza.
Kampuni ina Shereholder wawili:
Mwenzangu MD na Mimi ni Director.
Sasa basi nimekusanya vitu vifuatavo:-
Memoryrundom
Bank stetment
TIN#
Certificate of...
Kama kichwa cha habari kinavojielezea, Ninagari aina ya Toyota Harrier model 2008, nauza Tsh. 13,000,000 tu, haina tatizo lolote na ipo katika hali nzuri kabisa, Gari ipo Zanzibar. Wasiliana +255778353535 / +255714/773 303060
Wakati umetekwa na Wasiojulikana na ili wakuachie huru uchague moja wakufanyie kati ya haya yafuatayo:-
1) Wakutoe Nuru ya macho uwe kipofu, au
2) Wakutoe mdiso, "Jongoo asipande mtungi".
Habri Za muda huu, Zingatia mada husika. Mwenye vitabu hivi ningependa anisaidi ili niweze kuvisoma.:- Siri ya Sifuri, Mzimu wa watu wakale, Mke mmoja waume watatu, Mzimu wa watu wakale na Kivuli kinaishi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.