Habarini za leo wakuu? natafuta nyumba ambayo naweza kuifanya office
Sifa za nyumba, iwe inajitegemea, iwe barabarani(iwezwe kuelekezeka, na iwe wilaya ya kinondoni(kawe chini, Mbezi Beach, Mikocheni, Kinondoni yenyewe, Kijitonyama, Mwenge, Sinza, Makumbusho, Msasani, Oysterbey na Masaki
Budget...
Habari ya wakati huu ndugu zangu, je wewe ni mhitaji wa gari ya kutumia, au una gari na unauza ila hujui uipeleke wapi ili iweze kuuzwa kwa wakati? Basi usihofu Kampuni ya Joex Motors (T) Limited wamekuja na aulihisho hilo
Tunaagiza gari Europe na Japan, tunanunua gari kwa wamiliki halali na...
Je, unahitaji kampuni bora sana ya kusimamia tukio lako? Inaweza kuwa harusi, mahafari, mikutano, washa na tukio lolote linalohitaji usimamizi wa kina?
Basi usiwe na mashaka, kampuni ya Joex Event Planning & Management Ltd wapo kwa ajili ya kuhakikisha tukio lako linaandaliwa na kusimamiwa...
Timing belt zipo sawa, machine imesoma code upande wa hewa ila bahati mbaya fundi aliepelekewa gari bado hakuweza kufahamu zaidi atengeneze Nini, gari inaandaliwa utaratibu wa kuja dar pengine tunaweza kutatua hilo tatizo kwa huku
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu na mafundi wa magari naombeni msaada wenu wa kina, nina gari yangu Premio Old model NZT240 gari ya 2007 engine ya 1NZfe imekutana na tatizo ambalo sielewi, Ina tetemeka na kuzima ikiwa kwenye mwendo, tumeshabadili Plug, fuel pump, Airflow sensor lakini tatizo liko pale pale, Nini kifanyike...
Nipigie kwa uhitaji wa gari za kuagiza au kuuziwa gari iliyoko Yard kwa uaminifu mkubwa sana na utauziwa gari ambayo haijashushwa mileage
+255 (0) 719 263 074
Sent using Jamii Forums mobile app
Kampuni ya JOEX Worldwide inawatangazia watanzania wote wenye vigezo na sifa kutuma maombi yao kuanzia leo hadi Oct 20,2023
Kazi : Clearing Agent
Idara: Operational
Vigezo Cheti / Diploma ya clearing pamoja na awe amesoma kozi ya CFFPC inayotolewa na chuo Cha Kodi na awe amepata Cheti
Umri...
Kampuni ya JOEX Worldwide inawatangazia watanzania wote wenye vigezo na sifa kutuma maombi yao kuanzia leo hadi Oct 20,2023
Kazi : Clearing Agent
Idara: Operational
Vigezo Cheti / Diploma ya clearing pamoja na awe amesoma kozi ya CFFPC inayotolewa na chuo Cha Kodi na awe amepata Cheti
Umri...
Naomba kuchangia kidogo hapa, watu wengi ambao wanaagiza magari ulaya na Japan kuja Tanzania hua wanatumia calculation ya TRA Kama kielelezo Cha kuamini hiyo ndio Kodi anayopaswa kulipa, lakini jibu sahihi ni hapana, Ile calcultor inatumika kama reference tu hivyo unaweza kufika hapa nchini...
nenda ofisi yoyote ya zimamoto na uokoaji iliyokaribu yako utapewa fomu ujaze kuomba kua fire dealer wao watakupa vigezo vinavyotakiwa Ila sharti ni wewe mwenyewe uwe umesomea mambo ya zimamoto au uwe na permanent staff alieyepata mafunzo hayo
Kama kichwa Cha habari kinavyoelezea, anahitajika mtu aliebobea katika uandikaji wa wasifu wa kampuni( company profile), kwa ambae anauwezo na sifa za kuandika awasilishe maombi yake Kupitia email:
josephariagroup@yahoo.com
sambamba na Hilo anahitajika mtu mmoja aliebobea katika sales &...
Inategemeana na mazingira mkuu na hiyo Hali haipo kisheria kwahyo inaweza kuwezekana na ikashindwa kuwezekana pia kwahyo haitakiw kumuaminisha kwamba Hilo linafanyika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.