Endapo Zitto atafukuzwa CHADEMA, chama kitakuwa kwenye hatihati ya kupoteza 45% ya kura za urais ambazo chama kilizipata mwaka 2010.
Ni dhahiri Zitto ndiye kipenzi cha watu kwenye maeneo ambayo CDM inapendwa kukiko sehemu zingine nchini.
Makamanda wote wa ulinzi na usalama CHADEMA nchini mmesikia maamuzi ya kamati kuu taifa kuwavua uongozi baadhi ya viongozi wa kitaifa waliokwenda kinyume na maadil, mnatakiwa kufuatilia ktk maeneo yenu ya uongozi kwa undani sana kila kitu husika na chama na kutoa taarifa kwangu au kwa mkurugenzi...
Mhe Zitto Kabwe ameibuka kidedea kwenye uchaguzi wa kumtafuta mwenyekiti wa kamati ya hesabu za Serikali (PAC) baada ya kumbwaga Mhe. Cheyo kwa kupata kura 13 kati ya 17.
Zitto awali alikuwa ni mwenyekiti wa POAC, kamati iliyovunjwa siku chache zilizopita na kuunganishwa na kamati ya PAC...
Masaa machache yaliyopita kamanda Zitto ka tweet ujumbe huu...
Zittokabwe: Naingia kambini 835KJ. Kwaherini kwa muda kidogo hapa twitani. Nawatakia ndugu zetu wa #Kenya uchaguzi wa amani kesho na wachague #Change
Binafsi namtakia Zitto kila la kheri, atoke kambini akiwa amewiva zaidi...
Great thinkers,
Tokana na hili lililoibuka la kuamuriwa iwapo Bunge lioneshwe live ama lah, hebu tufanye uchambuzi wa Kisayansi kwa kueleza misimamo yetu na kupiga kura ya "Ndiyo" au "Hapana".
Kwa muktadha huo, wanaotaka Bunge liendelee kuonyeshwa live waseme "Ndiyooo", wasnakubaliana na...
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA), amesema kutokana na kuliongoza jimbo hilo kwa vipindi viwili mfululizo, sasa ametangaza rasmi kutowania nafasi hiyo tena katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
Alisema kazi kubwa aliyoifanya kwa wananchi wa jimbo lake, imefika wakati sasa wa yeye...
wana jamvi,Kile kikao tulichokuwa tunakisubiri kwa shauku kubwa kinachotarajiwa kufanya maamuzi magumu kilikuwa kifanyike leo, lakini mpaka dakika hii kimyaa hakuna updates zozote. Au kikao hakijafanyika?Tupeane taarifa...
Operesheni linda tembo pambana na ujangili
Zitto Kabwe
Toleo la 277
16 Jan 2013
MWAKA uliopita, ulijaa habari za kukamatwa shehena za meno ya tembo kutoka Tanzania huko Hong Kong zikielekea China. Desemba, shehena ya tani 1.3 ya meno ya tembo iliyofichwa kwenye magunia ya alizeti ilikamatwa...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeufananisha mwaka huu kama mtakatifu, kwa wanachama wake kujiandaa na chaguzi za mwaka 2014 na 2015.
Kauli hiyo ilitolewa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa alipokuwa akizindua ofisi za kata na matawi maeneo tofauti ya Manispaa...
Kila mkutano alianzisha na kusimamia ajenda
Wengi walidandia kwa kuunga mkono au kupinga
KUNA namna nyingi za kuelezea taswira ya Bunge na wabunge katika mikutano yake minne ndani ya mwaka 2012, uliokwisha. Unaweza kulielezea Bunge na wabunge kwa kutazama aina ya hoja zilivyoendeshwa...
Na Ezekiel Kamwaga | Raia Mwema Toleo la 272 | 12 Dec 2012
NINAAMINI kwamba makala haya yataniletea upinzani mkubwa sana kwa baadhi ya watu ambao hawataki kusikia mtu akisema Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Kabwe Zitto, anafaa kuwa rais.
Kwa bahati mbaya, wengi hawamfahamu vizuri au...
Waziri Kivuli wa Fedha na Uchumi, Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Kigoma Kaskazini ndugu Zitto Zuberi Kabwe ameanza ziara ya kikazi nchini Ujerumani ambapo atahudhuria na kuhutubia Mkutano mkubwa wa masuala ya ushirikiano wa kiuchumi kati ya Ujerumani na Africa. Mkutano huo...
Ndugu Zitto Kabwe ambaye hivi sasa yuko Rombo kwa ajili ya kufunga campaign za udiwani kata ya Nanjarareha amehamasika na ukuaji wa mji wa Moshi na haswa mapokezi aliyoyapata kule Rombo na kukiri kwamba CHADEMA imewiva sana uko, haya ni baadhi ya maneno aliyo post kwenye ukurasa wake wa twitter...
Hii ni sehemu ya majibu ya Zitto uko twitter:
Aliambiwa: fredrooney: Zittokabwe my bro we need statement ukanushe hizi tuhuma kwamba ulipokea hongo kuwatetea mhando bungeni
Akajibu: Zittokabwe: fredrooney sitatoa statement kwa mambo ya uzushi yanayosukumwa na agenda za kisiasa. Siku zote...
Lugola akaangwa kwenye 'caucus' ya CCM kwa kauli dhidi ya Mkulo Bungeni
Habari ifuatayo imenukuliwa kutoka kwenye gazeti la MTANZANIA:
Aliyekuwa Waziri wa Fedha, Mustafa Mkulo ambaye ni Mbunge wa Kilosa (CCM) amemtolea lugha chafu za matusi ya nguoni mbele za watu, mbunge wa Mwibara Kangi...
Wana jamvi,
katika gazeti la Mtanzania la leo kuna habari inayosema kamati kuu ya CCM inakutana leo saa 4 IKULU kujadili mambo mbalimbali ikiwemo kupokea mapendekezo ya party caucus ya kutaka mawaziri 8 kujiuzulu.
Inasemekana kwamba CCM inafanya haraka kubadili BLM ili kuipokonya CHADEMA...
Katika pita pita zangu uko twitter nimekutana na ujumbe huu toka kwa Zitto Kabwe na Halima mdee kwenda kwa January Makamba...
Tweet from Zittokabwe
------------------------
Ni rahisi sana kujua waliotayari kuwa nje ya comfort zone. @JMakamba anaogopa chama chake. Hajui wajumbe kadhaa wa...
Kupata taarifa kamili, fungua attachment,
7.2 Mapendekezo ya Kamati Mheshimiwa Spika,kwa kuzingatia kanuni za kudumu za Bunge Toleo la mwaka 2007, Naomba kuwasilisha Mapendekezo ya Kamati kama ifuatavyo;
7.2.1 Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Kamati imebainisha kuwa Mashirika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.