Wakuu wa kaya poleni na majukumu. Mwenzenu nahitaji ku unlock network ya Samsung J7 (J700M). Natanguliza shukrani zangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani ninaomba msaada namna ya ku bootload simu yangu ya huawei G535-L11. Niki iwasha inaishia njiani na inaleta message Bootload Failed to Verify. Bootload Status LOCKED. Naombeni msaada nifanyaje
Wakuu habarini za majukumu ya kifamilia na kitaifa. Mwenzenu nimekuwa nikihangaika namna ya kupata Brother Cartridge Refill Powder kwa ajili ya printer zangu. Shida ni kwamba Cartridge za hawa jamaa ni bei mbaya na kurasa inatoa chache sana na wino unakuwa umeisha. Sasa kiuchumi inaumiza sana...
Wandugu habarini za leo. Nahitaji kupata audio za speech za Malcolm X mpigania haki za watu Weusi. Naombeni msaada mahali napoweza kuzipata. With Respect to you all.....
Mtali
Samahani wanajamvi nimeona hili nilizungumze kwa mtizamo wa ndani kidogo. Katika hali ya fedheha kuhusiana na safari za mheshimiwa mwenye nchi ktk nchi za Ulaya na Marekani. Nina maswali haya ya awali;-
Ni Safari ngapi Mheshimiwa amefanya safari nchi za Ulaya na Marekani mwaliko wa Marais ktk...
Jamani wana Jamii Forum Nyambari Nyangwine amepotelea wapi? Maana ni siku nyingi hasikiki au yupo kusaini mikataba ya Ukimya....... Au amefichama baada ya kuona vita ni kali??????
Ndugu wanajamii humu ni wiki moja imepita nimeshuhudia mtoto akitapika damu kwa wingi hadi niliogopa kwani sija wahi kuona tatizo kama hilo. Hivi tatizo hili linatokana na nini? Na matibabu yake ni yapi? Na matibabu yanapatikana wapi ndugu zanguni? Nahitaji msaada wenu kujua hili na kulishughulikia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.