Sijui Moderators mnachoka huyu jamaa anasema Makonda amemuibua Rais Mstaafu wakati aliyetangulia kusema ni Rais Mstaafu kwenye mkutano mkuu?Tulinde hadhi ya hii forum tusilete post za Facebook humu.
Pamoja na ukristo wangu naumia sana pia mchango wa uislam na waislam katika historia ya nchi yetu usivyotajwa popote. Na hata uamuzi wa waislamu kubariki mkristo Mw Nyerere kuwa kiongozi wao ndiyo chanzo cha umoja tunaojivunia leo...
Historia ya Tanganyika imemficha mwanamama huyu ambaye alipingana na viongozi wa Tanu wakiongozwa na Mwalimu Nyerere na wazo la UN kuwa Tanganyika ipewe Uhuru mwaka 1971 na kushinikiza uhuru wa Tanganyika kuwa 1961 na kuleta slogan maarufu wakati wa uhuru ñi sasa.
Kuendelea kutawaliwa na...
Ni wakati sasa serikali kufanya maamuzi ya kuongeza kiwango cha ufaulu kwa udahili wa wanafunzi kujiunga vyuo vikuu ili kulinda hadhi ya vyuo na kupata graduates bora katika soko la ajira.
Napendekeza kiwango cha CCC kitumike na wanafunzi watakaoshindwa kupata hiyo sifa wajiunge na kozi za...
Suala la kikotoo lilianza tangu kipindi cha awamu ya 4 chini ya Jakaya Kikwete lakini zilitengenezwa mbinu fulani likahairishwa na mfupa akatupiwa Hayati Magufuli katika awamu ya tano.
Pamoja na sifa ya ujasiri wa kutoa maamuzi magumu magufuli naye alilitelekeza kinamna kwa kulipiga kalenda na...
Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson ametangaza kifo cha mbunge wa Jimbo la Kwahani, Zanzibar Ahmed Yahya Abdulwakil ambaye amefariki ghafla kwa shinikizo la damu.
Dkt. Tulia amelazimika kuahirisha shughuli za Bunge hadi Aprili 15, 2024.
Ahmed Yahya Abdul-wakil enzi za uhai wake
---...
Wakati mwingine watu wanajiuliza hili jimbo lilianzishwa kimakosa? Barabara zote muhimu ni chakavu na sio za lami.
Nilipita barabara ya kibanda cha mkaa kwenda mjimpya nikajiuliza hili jimbo lina Tarura? Na kama Tarura ni wazembe mbunge na diwani na hata chama tawala wako wapi?
Kimsingi hili...
Athari ya kuwa na maduka ya fedha za kigeni mtaani inajitokeza na tayari athari zimejitokeza.
1. Fedha ya Tanzania sio stable tena inabadilika badilika hivyo kuharibu mfumo wa bei ndani ya nchi.
2. Mwanya kwa viongozi wasio waaminifu kupokea rushwa bila kuonekana kwa kuwa miamala hiyo ni ngumu...
Tunaweza kuweka lawama kwa hili shirika lakini kwa hivi karibuni ndege zake zinatumika sana kwa safari za kiserikali na ambazo sio za kibiashara.
Hii mara nyingi husababisha kuchelewa au kahairisha au kupunguza safari. Ni afadhali serikali ipewe ndege moja ya ATCL kwa ajili ya viongozi na mambo...
Majuzi taarifa zilijitokeza kuhusu kupata mwendeshaji wa mradi wa mabasi ya mwendokasi na idadi ya makampuni ya nje na mawili ya ndani yaliyojitokeza kuingia kwenye mchakato... lakini siku mbili baadaye kampuni ya ENG kutoka uarabuni imetajwa kama mwekezaji mpya? Huu mchakato ulifanyika lini na...
Hakuna check cha mjumbe kinachotambulika kisheria katika ugatuzi wa madaraka..hao wajumbe hawana mamlaka kisheria zaidi ya mamlaka kama raia au mwananchi...wapo kwenye mfumo wa CCM na hata huko CCM hawajapewa hizo kazi wanazofanya.Wajumbe mara nyingi wanatumika na. Ofisi za serikali ya mitaa kwa...
Nafikiri wananchi watafute vyama mbadala kwani hivi vya upinzani kuna kila dalili vimekuwa compromised. Unafikiri usiposhiriki uchaguzi utapata kitu gani?
Sawa kabisa kutafuta viyoyozi lakini kwa uwezo wataalamu na vifaa tiba Muhimbili ipo juu mbali sana...na hata madaktari wengi huko Aghakan wanatoka Muhimbili....shida kubwa ni kwamba iwapo bima hailipi consultation fee maana yake management ya hospitali itahitajika kuwalipa madaktari wanaoazimwa...
Sekta binafsi ya wizi hata ikifa hakuna shida yoyote... mfumo wa bima unasaidia wote wenye vipato na wasio na vipato ... mnapofanya wizi wenu mnaharibu uwezo wa bima kusaidia watu wengi zaidi.... kama unaona wewe upo sawa weka hiyo taasisi yako hapa tuwavue nguo. Mmezoea kula fedha za NHIF...
Ni ukweli usiopingika kwamba hizi private hospitals zinaiba sana kupitia bima za afya za wananchi...na pale mfumo wowote ukibuniwa ukaonekana kuwabana vita inakuwa kubwa sana.
Ukweli ni kwamba hospitali nyingi za binafsi survival yao inategemea NHIF. Zipo njia mbalimbali zinazotumiwa na...
Jaribu kupitia vyanzo vya umeme wa tanesco kama ilivyoambatanishwa na andiko hili ili kujua panapovuja ni wapi.
Vyanzo vikuu ni kutokana na maji na gesi lakini gesi ndiyo inayoongoza.
Vituo vya gesi
1.Kinyerezi 398MW
2.Ubungo power plant 231MW
3.Songas 189 MW
4.Tegeta Thermal 45MW
5.Somanga...
Hapa mnasahau kuwa tawala na upinzani hata milioni kumi hamfiki lakini mnataka kuwasemea na wale wasio na chama chichote...ambao ndiyo wengi ipo siku moja hqipo mbali mtashangazwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.