Habarin wadau .... mi nlkua naulizia suala.la wabunge wale wa chadema almaarufu kama covid19 je bado wapo kisheria pale bungeni huku wakiwa wamevuliwa uanachama? Rais hajaliona hili? Kesi yao ile imefikia wapi?
As Christian nijuavyo dhambi ni uasi uasi ni kwenda kinyume /against God sasa kwanin shetan alitoka wapi ...? One thing Shetan ni jina la laana kabla hapo alkua lusfa... Lusifa then shetan huyu hakwenda against sheria za Mungu bali kutak utawala kabisaa yaani kumpindua Mungu utawala wake apa...
Kuna jambo kubwa limezungumzwa mara nying kwe biblia kuliko jambo lolote lile nalo ni "UFALME WA MBINGUNI" Apa ndipo kuna siri zote yahitaji uongozi wa Roho Mtakatifu kujua kila kitu
Aisee kuna Mada hua zanipitaga sana na jamaa angu ivi ivi mkoani alienda kuogelea sehem flan porin kwe mto akapotelea kesho yake kaonekana nje ya mto tiari mbele za haki nakukubali sana Mshana Jr
Haya mambo yatakuja kuondok ila taratibu sana coz kumkatia mtu ulaji sio kazi Rahisi ata kidogo inaweza mcost ata Rais mwenyew huwez jua kuna wakuu wangap wanakula apo kwe mwenge shangaa Rais anatawal miaka 5 tuu anakuja mwingine.... But bora hasara kuliko lawama fyekelea mbali mbio za mwenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.