Msemaji wa Serikali ndo kamaliza kutueleza maana ya SADC?

Uncle Jei Jei

JF-Expert Member
Jan 7, 2011
1,684
2,157
Nilivyoona hiyo heading kwenye official page ya serikali "elewa kuhusu SADC" nikaamini sasa angalau hata wasio fahamu SADC ni kitu gani, historia yake, iliundwa kwa malengo gani na inaumuhimu gani wataelewa kupitia hapa!

Bahati mbaya nimekutana na kitu tofauti kabisa kiasi kwamba watu wasioifahamu SADC ni nini bado watabaki kushangaa kilichoongelewa kwenye katuni hizo.

Ingekuwa vema sehemu hizi zikatumika kutoa elimu kwani si wote wanaoelewa historia na malengo ya kuwepo kwa SADC.

Nilitegemea angalau kwa kuanzia, post ingejibu maswali muhimu mawili;

1. Unafahamu nini kuhusu SADC?
2. Tanzania inanufaikaje kuwepo SADC?


Lakini cha ajabu Tazama mwenyewe picha hapo chini wasomi wa nchi yetu walichotuwekea chini
Screenshot_20190804-100014.jpeg
 
Nilivyoona hiyo heading kwenye official page ya serikali "elewa kuhusu SADC" nikaamini sasa angalau hata wasio fahamu SADC ni kitu gani, historia yake, iliundwa kwa malengo gani na inaumuhimu gani wataelewa kupitia hapa!

Bahati mbaya nimekutana na kitu tofauti kabisa kiasi kwamba watu wasioifahamu SADC ni nini bado watabaki kushangaa kilichoongelewa kwenye katuni hizo.

Ingekuwa vema sehemu hizi zikatumika kutoa elimu kwani si wote wanaoelewa historia na malengo ya kuwepo kwa SADC.

Tazama mwenyewe picha hapo chiniView attachment 1171920
Hahahaaa wanaimba tu SADC SADC hawawezi hata kuwaeleza sadc ina faida gani kwetu, kila
mahali wanasema tu ni fursa ,hizo fursa ni zipi?? Hahahaha
 
Maana kubwa ya SADC inayozungumzwa Tanzania ni Raisi kuwa Mwenyekiti na Wana-Daresalam kujitahidi kuoga na kuvaa nguo safi.

Sijui Watanzania tunakwama wapi kifikra!
 
Ngali umetukumbusha mbali. Mkutanao wa SULVAN ulikutumia pesa nyingi sana lakini kwa kweli sijui kama baada ya mkutano kuna kitu kinaendelea. Nakumbuka ni eneo lile la parking likawa bar jirani na makaburi kama unakwenda central police Arusha, alafu nayo ikafa hivi hivi
 
Imeandikwa na Phd Holder!
Lazima kuna mahali na wakati fulani ndugu zetu na jirani zetu wanatucheka sana.

Leo kikijitokeza chombo cha habari kikatinga mtaani na kuhoji watanzania wenzetu maswali mawili tu;

1. Unafahamu nini kuhusu SADC?

2. Tanzania inanufaikaje na SADC?

Utashangaa majibu yatakayotolewa halafu badala ya kutumia hii atmosphere iliyopo kueleimisha jamii kiini cha uwepo labda na faida za uwepo wa SADC tunaishia kama tulivyoona kwenye post ya msemaji wa serikali.

Au tuanzie humu humu kujibu maswali hayo tuone majibu yetu
 
Hahahaaa wanaimba tu SADC SADC hawawezi hata kuwaeleza sadc ina faida gani kwetu, kila
mahali wanasema tu ni fursa ,hizo fursa ni zipi?? Hahahaha
sawa na wanavyojikanyaga juu ya faida ya mbio za mwenge
 
Lazima kuna mahali na wakati fulani ndugu zetu na jirani zetu wanatucheka sana.

Leo kikijitokeza chombo cha habari kikatinga mtaani na kuhoji watanzania wenzetu maswali mawili tu;

1. Unafahamu nini kuhusu SADC?

2. Tanzania inanufaikaje na SADC?

Utashangaa majibu yatakayotolewa halafu badala ya kutumia hii atmosphere iliyopo kueleimisha jamii kiini cha uwepo labda na faida za uwepo wa SADC tunaishia kama tulivyoona kwenye post ya msemaji wa serikali.

Au tuanzie humu humu kujibu maswali hayo tuone majibu yetu
 
Back
Top Bottom